Kama inavyojieleza hapo juu....
Nyumba ipo maeneo ya kariakoo mtaa wa magila karibu Emelly hotel....
Inafaa kwa ujenzi wa hotel na fremu za maduka!!!
Bei ni 1.1b mazungumzo yapo!!!!
Namba ya...
Ipo maeneo ya luhanga mkabala na shule ya kawawa.....
Eneo lifaa kwa ujenzi wa guest house, bar ,lodge au nyumba kubwa zaidi ya kupangisha!!!!!
Ni nyumba yenye eneo kubwa!!!! Na gari linafika...
Habarini za asubuh wadau, kuna nyuma inauzwa kigambon kata ya mji mwema eneo la kibugumo. Ni nyumba ambayo ipo ktika hatua za mwisho kumalizika. Kuna mambo ya yametokea kunahitajika pesa ya haraka...
Kwa yeyote anayehitaji sebule na chumba self maeneo ya tabata segerea just inbox me...
Kodi ni 100,000/= unalipa miezi sita..
No dalali nakupeleka kwa mwenye nyumba mkamalizane...
Patakua wazi...
Semi finished iko muembe mdogo, Kigamboni Dsm....in vyumba 3 kati ya hivyo 2 ni self contained, jiko na stoo yake,sebule na dinning room pamoja na public toilet. Imeshawekwa grills madirisha yote...
Nyumba ya vyumba vitatu,
a) Master bedroom na viwili vya kawaida.
b) Sitting Room na dinning room.
c) Ina choo cha ndanibkwa ajili ya hizo room mbili kukiwa na corridor moja.
d) Ukubwa wa eneo...
Habari.
Nyumba inapatikana Mikwambe-Kigamboni DSM, karibu na site ya mh. Ndugai (kitu maarufu).
Eneo limepimwa na ina hati tayari. ina eneo la skwea mita 801,
Nyumba ina vyumba viwili na master...
Eneo SQM 575 linauzwa Kata ya Miburani, mtaa wa keko machungwa (lina nyumba), panafaa kwa makazi gari inafika mpaka mlangoni, document yake ipo bei ni mil 75 maongezi yapo
Kwa maelezo zaidi...
Tuna design matangazo kwa bei poa mnoo yaani shilling elfu mbili tu kwa kila tangazo wahi sasa ofa hii ni chache yaani elfu mbili yako tu jipatie tangazo lako kwa biashara yako piga number 0743401394
Liko Mbezi Beach-Jogoo ( mita 700 kutoka barabara kubwa).
Vyumba vitano vya kulala ikiwemo master bed room na baby room,sebule,dining,jiko na store
Nyumba ina nyaraka zote muhimu
Bei ni...
Nyumba ya kisasa inauzwa ipo chanika buyuni ina vyumba vitatu vitatu viwili self contained na kingine cha kawaida pia nje ina servant quarter nayo ni self contained kiwanja kina hati ,fance gate...
Habari zenu wanajamvi,
Nauza nyumba yangu mwenyewe sio dalali, ipo wilayani Maswa mkoani Shinyanga mtaa wa Dodoma, kama upo serious nichek tufanye biashara, bei ni maelewano, ndani ya eneo la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.