Kwa wale wakazi wa KAGERA-BUKOBA na maeneo jirani...
waweza kupata huduma za
1.installations of Microsoft windows and Debian
2.web-hosting with best 5 customizing web-hosting panels
3.Dbmsecurity...
Nahitaji sehemu ya ku print business cards kwa ubora wa hali ya juuuuu saaaaana na sio kubahatisha, napata tabu sana na wateja wangu wanaona design kali alafu nacho waletea tofauti kabisa. Kama...
Wakuu heshima kwenu.
Nina m8 nahitaji gari zifuatazo kama utawezekana.
Premio new model no. C au D.
Raum new model no.Cau D.
spacio new model no. C au D.
Vitz new model no C au D.
Zote hizo ziwe...
Habari za muda huu, ninatafuta nyumba nzima ya kupanga kwa ajili ya Ofisi.
Eneo: Sinza, Mwenge, Kijitonyama, Survey, Ubungo na Kinondoni na maeneo ya karibu na maeneo tajwa.
Ukubwa: vyumba vinne...
Mwaka : 2000
Mafuta : dizel
Rangi : silver
Cc : 3150
Model : QD
Bei: 14 m
Mawasiliano: 0767 425555,Arusha
Sababu za kuuza: nataka niongezee ninunue gari nyingine ya biashara. Gari iko...
ofa ofa ofa nunua perfume moja ya kike au kiume na upate deodorant moja au nunua seti ya novage skin care (kuondoa uchovu 25+, kung'arisha 25+ au kutoa mikunjo uson 35+) na upate shower gel moja...
for local contact and more details please call the following numbers
+255784410223 - Patricia
+25578082424 - Office
You can register online on this link: Esri Eastern Africa User Conference –...
Hi wanajamii, nahitaji kijana mbunifu wa kunitengenezea APP yangu, nitumie na references zako nione, propose bei, though tutanegotiate, bei iwe nafuu wajameni maana zile bei za kuchaji corporate...
Nauza Pool table Arusha,
Ni pool ya kete ndogo, ipo katika hali nzuri. Ina vumbi, inataka kusafishwa
Angalia picha, Kwa taarifa zaidi au kuiona
Piga 0718 653 453
Bei 550,000
Tunapenda kukualika 2 days leaders and Youths fellowship conference by Victor Nkomo kutoka South Africa ni week hii ijumaa na jumamosi tarehe 26 na 27 Katika hotel ya Midland, iliyopo mtaa wa...
Nina kampuni ya kuuza ASALI inaitwa HONEY SPRING iliyopo Morogoro Mjini na ninauza ASALI YA NYUKI WADOGO toka TABORA.
Natafuta mjasiriamali aliepo ARUSHA MJINI nifanye nae biashara kutokana na...