Wakuu
Tunauza Nguruwe hai, wenye afya nzuri kabisa na umri wa miezi 8. Ni Nguruwe waliolishwa vizuri kwa ajili ya matumizi ya chakula au ufugaji zaidi.
Kwa mawasiliano na kufika shambani...
Nguruwe wa miez 2 ni 70k (Chotara)
Nguruwe wa miez 3 wanauzwa 400k
Wapo nguruwe wa nyama pia
Mawasiliano 0796007039
Follow the NGURUWE DODOMA channel on WhatsApp: NGURUWE DODOMA
Kijiji cha Lunguza
Kata ya Lunguza
Wiraya ya Lushoto
Mashamba yapo
0772582186, bei Kati ya laki na nusu, laki mbili mpaka laki tatu kutegemeana na shamba , yapo ya kumwagia kwa pump na yapo ya...
KIWANJA KINAUZWA – MBEZI MPIGI MAGOE (KWA MZUNGU)
Unatafuta kiwanja kwenye eneo zuri la makazi au uwekezaji? Hiki ni fursa yako!
Ukubwa: Mita 20 × 20
Kiwanja kimepimwa
Hati inatolewa moja kwa...
INAUZWA HARAKA! NYUMBA INAYOENDELEA NTENGELE - MILIONI 20 TU 🏡*
UNATAFUTA KUANZA KUJENGA AU KUMALIZIA NYUMBA YA NDOTO? HII NDIO FURSA YAKO!
Nimekuletea Boma kubwa lenye muundo tayari umeanza...
KIWANJA KINAUZWA – MBEZI MAKABE (KWA PAULO)
📍 Mita 150 kutoka Barabara Kuu ya Mbezi Makabe, kimepakana na barabara kuu ya mtaa.
📐 Kiwanja kimepimwa
Ukubwa: 4,333 m² (Takribani Ekari 1.07)
✅ Eneo...
Sio kwa ajili ya kila mtu.
Ni kwa wale ambao umeshajaribu kila kitu. Na bado umekwama.
Kama unahangaika kupata wateja online.
Umetengeneza video yako.
Umeandika caption.
Umeweka pesa nyingi...
Una Laptop Mbovu, Iliyochakaa au Usiyoitumia? Niuzie Pesa Taslimu!
Nanunua laptop za aina mbalimbali, hata kama ni mbovu, imeharibika au imechakaa.
💰 Bei ni maelewano
📍 Napatikana Ilala, Dar es...
Watu wengi wanadhani kuagiza bidhaa kutoka CHINA ni kwa wenye mtaji mkubwa tu.
Ukweli ni kwamba wengi wanakosa fursa kwa sababu hawajui pa kuanzia.
Kwenye mafunzo yangu utajifunza:
📦 Jinsi ya...
Mitandio ya Chiffon inapatikana.
Ukubwa: Medium
Bei: sh 6,000/=
Tunapatikana Tabata Kinyerezi/Msasani (Biashara ni ya Mtandaoni), tunafanya delivery.
Mkoani tunatuma kwa gharama za mteja...
Khanga kubwa nzito kutoka Zanzibar zinapatikana.
Bei ya Khanga: sh 20,000/=
Bei ya Jumla: sh 18,000/= kuanzia Khanga tatu.
Tunapatikana tabata kinyerezi/Msasani (Biashara ni ya Mtandaoni)...
BISMILLAHIR RAHMANIR RAHIIM
Habari wana JamiiForums,
Natafuta mnunuzi wa jumla au mshirika wa biashara ya mchele.
Mimi ni mfanyabiashara mdogo kutoka Bonde la Mto Kilombero, Morogoro. Kwa sasa...