Ina vyumba vitatu vya kulala, jiko, sebure, sehemu ya kupatia chakula na uzio. Ipo katika mitaa iliyopimwa na kupangiliwa vizuri maalumu kwa makaazi. Bei Tshs 150mil. Kuiona au maelezo ya ziada...
Nyumba ya vyumba vinne inauzwa mikocheni B karibu na kanisa la Assemblies of God mlima wa moto, bei 200m, mazungumzo yapo. mawasiliano piga simu namba 0755 092 734 au whatsapp 0754 810 853
Hello wandugu,
Natafuta watengenezaji na wauzaji wa sofa za kisasa zilizotengenezwa kwa leather kwa matumizi ya nyumbani. Bei iwe reasonable. Mwenye namba ya muuzaji au anayetengeneza mwenyewe...
Nafasi za Kidato Cha Kwanza kwa wasichana: Westgate Girls
Westgate Girls ni shule ya wasichana ya bweni tu, shule imesajiliwa na wizara ya elimu kwa namba S.4948 iliyopo Kibaha Misugusugu...
Habari wadau, mm ni mfanyabiashara wa Mbao ndefu na fupi aina zote(treated & untreated), Milunda, Mabanzi na Nguzo mbalimbali hadi zinazotumiwa na Tanesco na TTCL.
Ninauza kwa Jumla na...
Ina vyumba vitatu mojawapo ni self contained, zipo nyumba tatu kwenye compound moja, pamezungushiwa ukuta, bei ni tshs 400,000 kwa mwezi, jinsi ya kulipia ni maelewano. Ni-PM kwa maelezo zaidi.
HABARINI WANANDUGU
Nilikua naomba msaada wa kujua vitu vifuatavyo:
njia za kupata banda kwa ajili ya kuuza bidhaa gharama za banda kipindi cha maonyesho na idadi ya wafanyakazi unaopaswa kua...
natafuta chumba cha kupanga morogoro karibu mazimbu au kihonda mwenye kujua wapi kuna vyumba nijulishe sasa hivi maana niko njia panda kimawazo au nipe namba zako nikupigie
Laptop hp mpya inauzwa ina specification kama zifuatazo.
Ram 4gb,
Harddisk 1 telabite,
Core i3
Screen inch 17.
Bei ni laki sita na ishirini (620,000) Tuwasiliane kupitia 0713806767
Habari mwana jamvi?
Natafuta sehemu wanaotengeneza mizinga ya nyuki kwa Dar es Salaam.
Nahitaji kwa kuanzia kama mizinga 10
Kama unafahamu tafadhali ni PM
Asante
*Stereo Headphone with Retail Package Bluetooth V4.1 AUX Audio Cable.Headset soft PU coated material, feels very smooth, does not hurt your ears when used, with fairly large diameter is 76mm ear...
Katika maendeleo ya sayansi na teknolojia, kampuni inayotengeneza simu za TECNO sasa imekuja kitofauti na simu Phantom 6 ambayo ndio toleo jipya kabisa. Simu hii imekuja na vitu vingi vipya...
Kampuni ya unilever courier services inakuletea parcels,document, vipeperushi,magazeti au mzingo wowote hadi nyumbani.gharama ni nafuu kabisa, unaweza kutuagiza pia tuwapelekee wateja wako...