Inakaa masaa 8 ukiichaji full.
Haijatumika sanaa maana muda wote router inatumika kwenye umeme..
Mara chache umeme ulipokatika ndio ilitumika.
bei 20,000
0711707070
SIMU NI MPYAAAAAAAAA
Google Pixel 9 PRO XL
RAM 16GB
ROM 256GB
Camera 50MP
BATTERY 5060mh
TSH.3,650,000/=
Call/WhatsApp 0749417334
UBUNGO DARAJANI
SIMU NI MPYAaa
Habari?
Una uhitaji wa BUSINESS CARDS?
Naweza kukufanikishia kwa kukufanyia DIZAINI BURE na Kisha kukuletea zikiwa 100PC PRINTED kwa TSH 25,000/= tu.
Material ninayotumia Ni GROSS PAPER GRAM 300...
Habari nauza mabanda hayo yako mawili ya kufugia yameisha kabisa na bado kuna kiwanja kimebaki kikubwa tu pembeni eneo lipo chanika mvuti mwisho sio mbali na barabara kabisa bei ni million6 kwa...
Habari wakuu! Nahitaji kupata jenereta nzuri ya 25kVA – mpya au used.
Kama kuna mtu anafahamu wapi naweza kupata na bei zake zinavyorange, tafadhali naomba ushauri wenu. Asante!
Plot ipo barabaran kabisa
Ina hati ya kisasa
Plot imejengwa nyumba za kisasa za kupangishwa ikiwemo fremu saba za biashara.
Huduma zote za kijamii zipo ikiwemo maji na umeme
Plot ina ukubwa wa...
Nauza betri used zlizotumika kwenye minara ya simu
Ni betri imara ikijaa mpk ije iishiwe moto sjui uwe na matumiz gani
Zipo zenye uwezo wa kuanzia 100ah/N mpk 150ah/N
Bei za 100ah/N ni 185000...
FEATURES INCLUDED WITH ALL PLANS:
- Cpanel Based Web Hosting
- LiteSpeed Web Server with WordPress Cache
- UNLIMITED MariaDB (MySQL) databases, email, FTP accounts
- FREE Unlimited Auto SSL...
Habari wadau.
Nauza kitanda cha chuma 5 x 6 na godoro lake.
Kwa kitanda peke yake bei 130,000
Godoro bei 80,000
Meza bei 50,000
Namba ya simu 0754 003 715
Toyota anatumia gearbox za aina tatu.
1. A type, ambazo zimefungwa kwenye SUV nyingi kubwa za Toyota. Mfano A343F iliyofungwa kwenye Toyota prado TX 1997.
2. U type, ambazo zimefungwa kwenye...
PUNGUZO LA BEI.
Tunapenda kukujulisha kuwa katika kufunga mwaka, sasa utapata VFD kwa 250,000 tu. VFD ni mashine ndogo inayokuwezesha kutoa risti halali za EFD kwa kutumia simu yako ya mkononi...
Dar es Salaam - Tamasha la Hot Rhythm Music Festival lililofanyika katika Hostel za Mabibo siku ya jumamosi jijini Dar es Salaam, liliwaleta pamoja wanafunzi wa Chuo Kikuu kwa ajili ya...
Wakuu habari,
Natafuta mkulima, wa karanga mbichi, ambae ataniuzia kwa bei ya shambani, ni kuajili ya biashara..
Kama una mzigo, nichek watsAp 0742596431, tufanye biashara.
Mimi nipo Dar.