Je, umekuwa ukitumia pesa nyingi kwa mkaa? Au umekuwa ukipika kwa muda mrefu?
Kama jibu ni ndiyo, sisi mkaa wa kisasa supplies tumekuletea ufumbuzi kwa kuja na technolojia mpya.
Inayotumia...
Habari wakuu,
Nina mpango wa kwenda kupanga na kuanza maisha yangu mapya,
Hivyo natafuta samani za ndani iwe kwa moja moja au hata vyote kwa pamoja kwa wenye navyo.
Samani hizo ni kama
Godoro...
Bei/Price TSH 31.8M
Call 0747 999 927
TOYOTA VANGUARD
Year: 2010
Engine: 2360Cc
Mileage: 79,000+
Transmission: AUTO
Sport Rims
Back Camera
Push To Start
Android Radio
Clean Interior
In Good...
Pata Router ya 5G kutoka Tigo – Furahia Internet ya Kasi Bila Kikomo!
Kwa Tsh 350,000 tu, unapata router mpya ya 5G kutoka Tigo na mwezi mmoja wa intaneti bila malipo! Hii ni nafasi ya kipekee ya...
Sina mengi ya kusema zaidi ya kutoa pongezi Kwa kampuni yenu.Mmeleta mapinduzi makubwa
1. Kwanza gari Luxury kabla tulikuwa na kampuni zenye magari Ordinary Class tu.
2. Uhakika wa safari kufika...
Aisee wadau, kuna viwanja vimepimwa, viko tambarare karibu na bahari maeneo ya Buyuni centre Kigamboni.
Viwanja vipo kuanzia 420sqm hadi 700sqm na bei ni 2,000,000tsh hadi 2,500,000tsh.
Nicheck...
Jamani tupeane uzoefu.
Mara nyingi natumia Instagram na YouTube kutangaza biashara yangu, lakini nataka kuongeza njia mpya za kufanya matangazo. Nimejaribu kuwasiliana na TikTokers kadhaa wa...
Wakuu kwema humu?
Nahitaji chumba masters, cha kisasa maeneo ya Mwenge, Mlimani City au Chuo (Ardhi)
Nataka kuhamia tarehe 1 mpaka 3 December!
Bajeti yangu haitazidi 200,000/- TZS
Nicheki...
Wakuu kwema humu?
Nahitaji chumba masters, cha kisasa maeneo ya Mwenge, Mlimani City au Chuo (Ardhi) au Sinza
Nataka kuhamia tarehe 1 mpaka 3 December!
Bajeti yangu haitazidi 200,000/- TZS...
Inakaa masaa 8 ukiichaji full.
Haijatumika sanaa maana muda wote router inatumika kwenye umeme..
Mara chache umeme ulipokatika ndio ilitumika.
bei 20,000
0711707070
SIMU NI MPYAAAAAAAAA
Google Pixel 9 PRO XL
RAM 16GB
ROM 256GB
Camera 50MP
BATTERY 5060mh
TSH.3,650,000/=
Call/WhatsApp 0749417334
UBUNGO DARAJANI
SIMU NI MPYAaa
Habari?
Una uhitaji wa BUSINESS CARDS?
Naweza kukufanikishia kwa kukufanyia DIZAINI BURE na Kisha kukuletea zikiwa 100PC PRINTED kwa TSH 25,000/= tu.
Material ninayotumia Ni GROSS PAPER GRAM 300...
Habari nauza mabanda hayo yako mawili ya kufugia yameisha kabisa na bado kuna kiwanja kimebaki kikubwa tu pembeni eneo lipo chanika mvuti mwisho sio mbali na barabara kabisa bei ni million6 kwa...