Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wakuu nauza kiwanja chenye hati ( SURVEYED PLOT) MBWENI MPIJI (Block No 09,Plot 139) UKUBWA WA KIWANJA SQM 820 KUNA BANDA KUBWA LA VYUMBA VINNE LENYE WAPANGAJI BEI: 110M...
1 Reactions
6 Replies
623 Views
Chumba na sebule kubwa ya kisasa katika neighbourhood yenye amani inapangishwa kwa bei ya Tsh 150k kwa mwezi. Mabibo makuburi nyuma tu na ilipo Samaria Hotel Eneo lina usalama wa kutosha ndani ya...
2 Reactions
40 Replies
2K Views
Rejea kichwa habari...Aina yoyote inayoweza njia ya vumbi...yenye milima. Shukran imetangulizwa.. Kimtindo mtindoe....mtindisho....mtindishhhdoooo.
3 Reactions
10 Replies
734 Views
Nauza king'amuzi cha Startimes kwa Tshs 20,000 tu. Kipo na Adapter yake ya umeme pamoja na remote controller yake. Kimetumika miezi mitano peke yake Nipo Mbezi Luis karibu na Stand ya mabasi ya...
0 Reactions
1 Replies
424 Views
Ninauza kiwanja cha sqm 4400 - 5000 kiko Lingato ambayo iko wilaya ya Kigamboni Dar es Salaam mpakani na Lugwadu ambayo iko Mkuranga Pwani. Ni maeneo jirani na kwa Pinda Kigamboni. Bei maelewano...
1 Reactions
3 Replies
576 Views
Habari zenu waungwana... Naomba kuelekezwa mahali zinapouzwa mashine za kutengeneza mihuri, hapa Tanzania, vizuri zaidi kama ipo hapa hapa Dar es Salaam. Nawasilisha. Mfano wa hizi mashine
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Habari ya siku watu wa jf, Nauza Extrnall transcend gb 1000 (1TB) 100,000/-95,000/ niko MASASI MJINI MTWARA 062721875:
0 Reactions
0 Replies
208 Views
Msaada tutani. Lodge nzuri karibu na Edema. Bei 25k hadi 30k
0 Reactions
1 Replies
599 Views
• Direction: Chang'ombe • Structure: manufacturing, storage, office block • Facilities: fenced, parking yard, water and industrial power • Ideal: Tea leaves processing & packaging; tea bags...
0 Reactions
0 Replies
297 Views
Tuna toa huduma za kufunga camera popote Tanzania na Zanzibar. Ofisini, Majumbani, Viwandani, Mashuleni, nk. Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba 0773373839 Au fika ofisini kwetu Buza kanisani...
0 Reactions
0 Replies
239 Views
Habari Wadau, Nina frame mjini Morogoro, eneo la Sabasaba, eneo zuri kabisa kwa biashara ya nguo (nafuu), viatu, jezi, nk, jumla na rejareja. Pia ni eneo lenye mnada siku ya Jumapili. Tatizo...
2 Reactions
7 Replies
665 Views
Nauza Cowrie/simbi Kilo moja 10,000/= Dar es salaam(Kigamboni) Cowrie (simbi) for bracelet necklace and anklet for sale Namba: 0759448927
0 Reactions
16 Replies
1K Views
call: Price/bei 22,800,000 Hotline: 0695022051 SUBARU FORESTER FOR SALE (EER Cc 1990 Year 2012 mileages 51325km Automatic Adroid radio/bluetooth Full Ac Clean interior Forg lights New four tyres...
3 Reactions
12 Replies
827 Views
Tunauza picha nzuri kwa ajili ya kupamba ofisini na majumbani karibuni tuwaudumie Picha hizi chini zina ukubwa wa size A3 Bei ni sh 23000. Contact 017009453 DSM NA MIKOANI TUNATUMA
1 Reactions
1 Replies
426 Views
Wakuu,nimepitia malalamiko mengi kuwa pressure cooker za umeme,zinasimbua sana. Kampuni gani ni nzuri,nasikia zinatumia umeme vizuri sana.. msaada wazoefu.
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Natafuta tajiri ambae anaweza akafika shamba kununua ndizi aina ya Mzuzu wa njano,moja ya ndizi nzuri na tamu iwe kwa kuchemsha,kukaanga. Shamba lipo morogoro mvuha,barabara nzuri zimapitika muda...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Habari Wananzengo, Ningependa kutafuta chuo kinachotoa kozi fupi za kompyuta kilichopo mjini Mwanza. Chuo hicho kiwe na ubora wa hali ya juu ili kuweza kumfaidi ndugu yangu katika kukuza ujuzi...
1 Reactions
10 Replies
737 Views
LG style 3 Ram 4gb Storage 64gb Clean Bei 250,000/= Ubungo darajani 0️⃣6️⃣9️⃣3️⃣1️⃣7️⃣6️⃣1️⃣9️⃣7️⃣
1 Reactions
5 Replies
806 Views
YOUR ONE STOP PPE SUPPLIER Safety gears & footwear Customized corporate uniforms Industrial workwear Call us today for free quote +255 736 251 251 / +255 749 344 848 Dar es salaam / Tanzania
2 Reactions
1 Replies
225 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…