Nimeona sio jambo baya Kama tukawa na Uzi maalum kwa ajili ya kuuza vitu used especially vitu vya ndani pia ikumbukwe gharama ya vitu used inakuwa nafuu kwa mnunuaji.
Kama hali ilivyo kuwa ngumu...
ubusy wa kazi unafanya tusahau sana afya zetu,foleni barabarani unafika nyumban muda umeenda na unashindwa kutoka na kwenda gym au kukimbia barabaran, lakini vipi ukiwa na mashine ya kukimbia...
Kijana mwenzenu nimeona kukaa nyumbani jau nimeamua kuanza maisha getoni mwendo wa ugali dagaa sasa nambeni mniunge mkono kwenye biashara yangu ya nguo na viatu ntawapostia hapo chini ili nisirudi...
Habari wanajamvi,
Mi kijana wenu leo nimekuja kivingine. Mungu amekuwa mwema kwangu, na mwaka huu nna azimio la kubadili maisha ya watu kutumia ujuzi wa teknolojia nlo nayo.
Kwa sababu zilizo nje...
Eneo linauzwa Makumbusho.
Mahali: Mtaa wa Samoyaz, Nyuma ya Mwanga Tower.
Sifa za Eneo:
Liko mita chache kutoka barabara ya Bagamoyo (New bagamoyo road).
Liko barabara ya kuelekea kituo cha...
Price: 150M
Land Rover Range Rover Vogue
Year : 2015
Cc : 3.0 Diesel TDV6
Colour : Santorini Black
Cream Leather Interior
Mileage 31,000miles
Electric Side Steps
Winker Mirrors
Panoramic...
Habari wanajamii forum kwa wale Wenye changamoto ya kiufundi kama TV,JBL SPEAKER, NA HOMETHETA unaweza nitafuta kwa namba 0655226738. Nafanya kazi kwa uaminifu mkubwa sana
2bhk Apartment For Sale At Upanga, Kilombero Street.
Features:
2 Bedrooms
Public washroom
Living room
Dining room
Kitchen
Parking space
Price: 70,000 USD. Negotiable.
Property Type is...
Habari za mda huu wadau. Karibu ujipatie original perfume ya chaguo lako. Bei zake ni nzur kabisa call/whatsapp:0659782778, whatsapp only +44 7771896993
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wapenda urembo na utanashati. Nauza perfume za kupima au kuchanganywa, kama Kuna perfume unaipenda na uwezi kuimudu bei basi sisi tunakuuzia kwakukupimia kwa bei rahisi kabisa, kama...
Hello wana jamvi kama unataka kuongeza kipato chako nakukaribisha machine za kukamua juisi ya miwa inazipata kwetu
Sifa zake inakamua na kuchuja yenyewe ni machine kutoka China
Pia ulaji wa umeme...
Toyota passo inauzwa kwa bei poa
Engine cc 990
Year made 2004
Rangi: Grey
iko full AC yani hamna tabu
Bei: milioni 2 na laki 6 tu.
Gari iko kimara
nicheki 0683011003 tumalize biashara
Natafuta lori 10, kutoka dar kwenda kolwezi kupitia zambia,lushi ,likasi.
Tunakupa na return goods copper.
Malipo: 50% advance baada ya kupakia
Balance: 50% return
Mobile: 0692595127
Range rover vogue on sale
Make: Land Rover
Model: Range Rover
Mileage: 140,500 Kms
Year: 2002
Type of car: 4-door
VIN Number: 2600cc
Condition: Used
For only Tsh 50,000,000
Wasiliana nasi kwa...