Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari, jaman nauza kiwanja, ipo mkoa wa Geita, mtaa wa nyankumbu mtaa wa mwabasabi. Kina ukubwa wa sqm500 na kina msingi wa nyumba ya vyumba vitatu, sebule, dinning na jiko. Bei ni 2m Mawasiliano...
1 Reactions
2 Replies
401 Views
Khanga kubwa nzito kutoka Zanzibar zinapatikana. Material: Cotton Bei ya Khanga: sh 20,000/= Bei ya Jumla: sh 18,000/= kuanzia Khanga 3. Tunapatikana tabata kinyerezi/Makumbusho (Biashara ni ya...
1 Reactions
1 Replies
273 Views
Habari Wana JF. Naomba nianze Kwa kutoa shukurani zangu za dhati Kwa Wana JF wote mlio niamini na mkafanya kazi na Mimi shukurani Sana. { ingawa wengi hamtaki nijue ID zenu mnasema mmeona...
3 Reactions
7 Replies
968 Views
Audio sound card 2 zinauzwa hazijatumika Bongo imported from UK 1 . M_Audio njia mbili haijatumika .Bei 350000 2.¹Focusrite 3rd generation Bei 450000 Simu 0712652110 Dar
1 Reactions
1 Replies
264 Views
In Tanzania, the Income Tax Act governs the taxation of income, including the filing of tax returns. The specific section that deals with the return of income is Section 91 of the Income Tax Act...
0 Reactions
1 Replies
617 Views
House For Sale. Location: Msasani Near Dar Villa, Misitu St. Features: 1storey, 4 bedrooms, 4 bathrooms, public toilets, Kitchen, Laundry, Dining, Sitting, Store, water tank, and servant's...
0 Reactions
2 Replies
335 Views
AWARD VERIFICATION NUMBER(AVN)ni namba inayomsaidia mhitimu wa Diploma kuitumia na kuweza kuendelea na masomo ya Degree.Ili kuipata matokeo ya mhitimu yanatakiwa yaweyametumwa na chuo husika...
4 Reactions
11 Replies
2K Views
Habarini wakuu, natafuta Vijana watatu kwa ajili ya saloon ya kike inayohusiana na dreadlocks mahali ni Sikonge, Tabora. Namba ya mawasiliano 0740002654w. Kwa maelekezo zaid piga kwa namba hapo juu.
1 Reactions
1 Replies
200 Views
Habari zenu watz wenzangu,,kwaupande wangu nimeona moja ya burudan za kila siku kwa binadamu ni pamoja na matangazo ya biashara ya kwenye mabango,,televishen pamoja na radio,, Mojawapo ya...
1 Reactions
155 Replies
29K Views
Habari wakuu, Tunatengeneza na kuuza furnitures mbalimbali za majumbani na ofisini tunapatikana chang'ombe (keko). Mawasiliano: 0652898378 Karibuni sana
1 Reactions
45 Replies
6K Views
Bull forge tunanua bidhaa zitokanazo na ng'ombe kama ngozi kavu, pembe kavu. n.k
0 Reactions
3 Replies
525 Views
Jamaan wadau wa humu JF jukwaa la matangazo madogo madogo habari za muda huu Kiufupi ni kwamba nahitaji simu nzuri upande wa camera, processor na storage kuanzia 64GB na pia...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Pikipiki ya kazi na ya uhakika kutoka KINGLION, hii inapita popote na inafanya kazi wakati wowote. Model: 150-9AEngine Capacity: 150ccFuel consumption: 1L/55KM Ukinunua unapata usajili bure...
1 Reactions
11 Replies
864 Views
Make: Mitsubishi Model: Pajero io Year: 2000 Capacity: 1830cc Colour: Pearly White Full Documents Full AC Price: 9.2M Fuel: Petrol Call: 0717436363 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
1K Views
House For Sale. Location: Msasani Near Dar Villa, Misitu St. Features: 1storey, 4 bedrooms, 4 bathrooms, public toilets, Kitchen, Laundry, Dining, Sitting, Store, water tank, and boycotta. Size...
1 Reactions
2 Replies
333 Views
Meno Yaliyotoboka yanaweza kusafishwa vizuri na kujazwa Dawa maalumu( kuziba / Restoration) na ukaendelea kuyatumia Kama kawaida pasipo na maumivu zaidi ya Miaka 15 Faida Za Kuziba Meno...
0 Reactions
0 Replies
787 Views
Wana JF Nahitaji Toyota Premio Model mpya Engine size CC 1450 Iwe ya Silver au nyeupe rangi nyingine pia sio mbaya Namba DZ au Namba E. Mwenye nayo aje tuzungumze kwenye comments./Inbox Pia...
9 Reactions
50 Replies
3K Views
Hii ni dodoma tu na wilaya zake zote tuna tambua tabu ya upatikanaji wa maji dodoma, ivyo Kwa mahitaji ya: -kuchimba kisima kirefu au kifupi kwa matumizi ya nyumbani, shamba au mifugo...
2 Reactions
6 Replies
881 Views
Habari za jioni humu ndani, mimi ni kijana umri miaka 24 graduate katika chuo kimoja wapo hapa mjini Dar es salaam. Katika mihangaiko ya hapa na pale nimepata kibarua maeneo ya mlimani city sasa...
2 Reactions
107 Replies
16K Views
Nyumba inauzwa Chang'ombe Extation Dodoma mil 50 Ina vyumba 4, 2 master. Ina sebule, jiko, public toilet na kiwanja sqm 460
1 Reactions
3 Replies
661 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…