Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

1.nyumba ipo Arusha morombo dampo kwa kaburu 2.ukubwa wa kiwanja miguu 15kwa 20 3.umbali km5 kutoka lami hati kwenye nyumba 4.ina vyumba 3, kimojawapo ni masta 5.ina jiko, sebule, umeme maji...
0 Reactions
2 Replies
988 Views
Nyumba ya vyumba vitatu,kimoja master, Bei milioni 38 Ina hati Ukubwa wa Kiwanja ni nusu eka Ipo Mlandizi kilanga langa, Toka morogoro road umbali mfupi kwa kutembea kidogo tu Kwa muitaji karibu pm
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Nyumba ziko 2 mkabala kabisa na barabara kuu ya kuelekea mbagala lami na ya zege ya mwendokasi. Bei ni TZS 280M. Kwa mawasiliano nicheki 0773411415.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nyumba inauzwa ikiwa haijapauliwa ramani ya kisasa Eneo ukubwa ni 30*25 Mahali Mbezi luois Bei milioni 35,000,000/= Mazungumzo yapo na karibu sana Mawasiliano piga sim 0713660178
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wanajamii [emoji213]Ni nyumba ya pili toka barabara kuu ya lami [emoji213]Nyumba ina vyumba vitatu, viwili masters [emoji213]Public Toilet moja [emoji213]Ukumbi, Dinning, Jiko...
0 Reactions
43 Replies
4K Views
Nyumba ipo mwembe mdogo Kigamboni Ina vyumba vitatu kimoja master sitting Room jiko na public toilet Bei milioni thelasini na tano (ml 35) ipo mita 200 toka lami ilipo nicheki...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jengo linauzwa lipo Mlamleni pwan lilianza kujengwa kwa ajili ya frem jengo lipo karibu na shule na hospital ni barabaran na ni eneo lenye watu wengi.
0 Reactions
3 Replies
779 Views
Nipigie 0713096076 bei 250,000
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nyumba ipo Kashai, Kashenye, Bukoba, ina vyumba vitatu vya kulala pamoja na sebule, ina umeme na maji, pia ina eneo kubwa la kujenga nyumba zaidi ya mbili, bei ni milioni 26, bei inazungumzika...
0 Reactions
0 Replies
754 Views
Nyumba iko Vikindu. Iko kwenye eneo la ekari moja. Ina vyumba vitatu, kimoja selfu. Ina maji safi ya kisima cha kuchimbwa (drill). Eneo limepimwa ila bado hati kutoka. Umeme ni nguzo tatu. Ipo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
GOROFA Ina uzwa Gezaulole kigamboni Ina vyumba sita chini vitatu kimoja master Sitting room dining room jiko na public toilet na chini vyumba vitatu kimoja master Sitting room dining room jiko na...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Nyumba kubwa inauzwa mbagala kuu kijichi jeshini Ina vyumba vitatu master moja,sitting room kubwa,dinning,kitchen na store Ina seventy quarter ambayo haijamaliziwa pamoja na banda kubwa la mifugo...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Kwa Nini ukose nyumba mjini?.Pata nyumba za bei rahisi zote zinapatikana eneo la Mbezi malamba kituo mzalendo ni buku tu kwa bajaji kutoka mbezi stand (Bei na maeelekezo vipo kwenye picha)...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nyumba inauzwa ina vyumba vitano,gharama ni Tsh.19,000,000/= , ipo Pugu Kigogo Fresh/Pugu Station . Ina Sebule ,master moja, choo cha ndani ,vyumba vitatu vya kawaida.Karibuni maongezi ya bei...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Kiwanja kina nyumba yenye vyumba viwili na sebure kimoja ni master. - Kiwanja ni 624m2 Kuna maji hapo hapo (ya uhakika) na umeme(wa uhakika) Dk2 bara bara ya lami - frem ya biashara moja...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Sifa: Vyumba 3, kimoja ni master. Sebule kubwa Jiko na stoo yake Choo cha wageni Eneo kubwa na la kutosha, Unalizia rangi, tiles na ceiling board unaaamia. Kwa mawasiliano zaidi: 0767077952 Tazama...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Nyumba inauzwa tabata ina vyumba vitatu vya kulala, kimoja master Sebule kubwa Jiko Dinning Stoo Bei mil 65 mazungumzo yapo
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Nyumba ipo Tabata Kisukuru(migombani). Mita 200 kutoka standi ya migombani Nyumba ina vyumba vi nne (viwili ni master), sebure, dinning, jiko na public toilet. Ina umeme na maji ya DAWASCO Gari...
4 Reactions
62 Replies
7K Views
Nyumba ina vyumba 3 kimoja master , sitting na daning pamoja na jiko Nyumba ina jiko la nje na ndani . kisima cha maji na umeme. .nyumba ina fence kubwa na nyumba ni mpyaaa Ukubwa wa kiwanja...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Nyumba inauzwa Goba njia nne ipo vizur sana bei yake ni milion 50 maongezi yapo kwa mwenye uhitaji wa hiyo nyumba haina migogoro wala mivutano inauzwa kwa sababu ya shida binafsi urefu ni 35 upana...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom