Nyumba ya vyumba vitatu,kimoja master,
Bei milioni 38
Ina hati
Ukubwa wa Kiwanja ni nusu eka
Ipo Mlandizi kilanga langa,
Toka morogoro road umbali mfupi kwa kutembea kidogo tu
Kwa muitaji karibu pm
Nyumba inauzwa ikiwa haijapauliwa ramani ya kisasa
Eneo ukubwa ni 30*25
Mahali Mbezi luois
Bei milioni 35,000,000/=
Mazungumzo yapo na karibu sana
Mawasiliano piga sim 0713660178
Habari wanajamii
[emoji213]Ni nyumba ya pili toka barabara kuu ya lami
[emoji213]Nyumba ina vyumba vitatu, viwili masters
[emoji213]Public Toilet moja
[emoji213]Ukumbi, Dinning, Jiko...
Nyumba ipo mwembe mdogo Kigamboni
Ina vyumba vitatu kimoja master sitting
Room jiko na public toilet Bei milioni thelasini na tano (ml 35) ipo mita 200 toka lami ilipo nicheki...
Nyumba ipo Kashai, Kashenye, Bukoba, ina vyumba vitatu vya kulala pamoja na sebule, ina umeme na maji, pia ina eneo kubwa la kujenga nyumba zaidi ya mbili, bei ni milioni 26, bei inazungumzika...
Nyumba iko Vikindu. Iko kwenye eneo la ekari moja. Ina vyumba vitatu, kimoja selfu. Ina maji safi ya kisima cha kuchimbwa (drill). Eneo limepimwa ila bado hati kutoka. Umeme ni nguzo tatu. Ipo...
GOROFA Ina uzwa Gezaulole kigamboni
Ina vyumba sita chini vitatu kimoja master
Sitting room dining room jiko na public toilet na chini vyumba vitatu kimoja master
Sitting room dining room jiko na...
Nyumba kubwa inauzwa mbagala kuu kijichi jeshini
Ina vyumba vitatu master moja,sitting room kubwa,dinning,kitchen na store
Ina seventy quarter ambayo haijamaliziwa pamoja na banda kubwa la mifugo...
Kwa Nini ukose nyumba mjini?.Pata nyumba za bei rahisi zote zinapatikana eneo la Mbezi malamba kituo mzalendo ni buku tu kwa bajaji kutoka mbezi stand (Bei na maeelekezo vipo kwenye picha)...
Nyumba inauzwa ina vyumba vitano,gharama ni Tsh.19,000,000/= , ipo Pugu Kigogo Fresh/Pugu Station . Ina Sebule ,master moja, choo cha ndani ,vyumba vitatu vya kawaida.Karibuni maongezi ya bei...
Kiwanja kina nyumba yenye vyumba viwili na sebure kimoja ni master.
- Kiwanja ni 624m2
Kuna maji hapo hapo (ya uhakika) na umeme(wa uhakika)
Dk2 bara bara ya lami
- frem ya biashara moja...
Sifa:
Vyumba 3, kimoja ni master.
Sebule kubwa
Jiko na stoo yake
Choo cha wageni
Eneo kubwa na la kutosha,
Unalizia rangi, tiles na ceiling board unaaamia.
Kwa mawasiliano zaidi: 0767077952
Tazama...
Nyumba ipo Tabata Kisukuru(migombani). Mita 200 kutoka standi ya migombani
Nyumba ina vyumba vi nne (viwili ni master), sebure, dinning, jiko na public toilet. Ina umeme na maji ya DAWASCO
Gari...
Nyumba ina vyumba 3 kimoja master , sitting na daning pamoja na jiko
Nyumba ina jiko la nje na ndani . kisima cha maji na umeme. .nyumba ina fence kubwa na nyumba ni mpyaaa
Ukubwa wa kiwanja...
Nyumba inauzwa Goba njia nne ipo vizur sana bei yake ni milion 50 maongezi yapo kwa mwenye uhitaji wa hiyo nyumba haina migogoro wala mivutano inauzwa kwa sababu ya shida binafsi urefu ni 35 upana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.