Ram za ddr4 ambazo kila moja ina 8gb
bei ni 30,000 Tu. NINAZO 2
ukichukua zote 2 yaani 16gb nakufanyia kwa 50,000.
Nipo kimara Dar es Salaam
Wasiliana: 0782780980
TUNAFUNGA AINA ZOTE ZA AIR CONDITIONIER NA KUZIFANYIA SERVICES
Wall mounted air conditioner
Ceiling Cassette air conditioner
Floor mounted air conditioner
Window air conditioners
Ceiling...
Habari za wakati huu …
Mimi n mkulima mdogo mdogo nimefanikiwa kuvun mahindi tani kumi katika mkoa wa tanga na kufanikiwa kusafirisha dar es salaam nipo hapa kutafuta mteja wa mahindi au kama...
Mnunuzi anatafuta gari ya Toyota yenye sifa zifuatazo:
Uwezo wa Injini: 1500cc au chini.
Hali: Gari iwe katika hali nzuri, isiwe na matatizo makubwa.
Historia: Haijawahi kuhusika na ajali...
Habari wakuu.
Wewe kama ni mlengaji wa viwanja nicheki Tajiri tunaweza tukafanya Jambo.
Kuna mzinga unakaribia kubutuka.
Unaweza ukajenga hiko kiwanja Kwa 300 alafu ukauza 500 au 600 kama...
Nauza Materials na kusadia ujenzi wa Greenhouse za ukubwa mbali mbali.
Kwa sasa nina materials zinazoweza kucover greenhouse ya ukubwa wa mita nane kwa mita kumi na tano (8x15m), Zina uwezo wa...
Tuuze na kununua hapa, sema unataka nini na bajeti yako ikoje pia wewe unayeuza toa taarifa za unachouza kwa ushahidi na useme wewe ni dalali au mmiliki wa unachouzwa. Tuuze kuanzia nafaka...
Tuanze kwa kuwashukuru makampuni(Companies), Ubia (Partnerships), Biashara binafsi(Sole proprietors) na Taasisi zisizo za kiabishara (Not for profit entities) kwa kutupa fursa na ushirikiano wa...
Inavyumba 6
Eneo la parking lipo kubwa limebaki mbele
Nyuma kuna uwanja wa kujenga hata vyumba 3 vya kulala
Nyumba inawapangaji nyumba iko kwenye barabara ya mtaa gari inafika
Haina mgogoro...
Habari Wadau,
Ninatafuta Wanunuzi Wa Mbegu Za Alizeti Kwa Ajili Ya Kukamua Mafuta.
Nina Tani Za Kutosha Ni Uwezo Wako Tu Mteja.
Kilo Moja Nauza 965/=
Oda Ya Chini Kabisa Tani 1 = Kg1000
PM Kwa...
Bei ni 20,000/= kwa taa 1. Tunatuma nchi nzima. Utalipia baada ya kupokea mzigo.
Karibuni.
https://smarteaglescompany.blogspot.com/2025/01/hizi-ni-taa-za-kisasa-kwaajili-ya.html
Tafadhali jamani Nina Mgonjwa hapa hospital ya My.Gaspary Itigi - singida amepewa Referral kwenda muhimbili naomba kuunganishwa sasa hivi na anayehusika na Ndege za kukodi.
Biashara ya mayai ya kuku wa kisasaWadau wa naomba mwenye uzoefu wa biashara ya mayai ya kuku wa kisasa anisaidie ushauri juu ya mambo yafuatayo:
1) Je, biashara hii inalipa?
2) Je, ni muda gani...
NYUMBA INAUZWA CHANIKA MWISHO MIL 22 ( INAUZWA MIL22)
CONTACT: 0743 257 669
Nichek whatsapp direct View James Construction and real estate company's Catalog on WhatsApp
UKUBWA WA ENEO SQM 400...