PastorA
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 361
- 275
Kweli kabisa manhata afanyeje, hatapata zaidi ya tano, wote waliotaja bei ni porojo!
hawana kila kitu, mwwnye hela anafanya mawasiliano ya direct siyo hapa kwenye wall
Wanaotamka bei hadharani wengi wazushi kweli na si wanunuzi bali uchangamsha genge.hata afanyeje, hatapata zaidi ya tano, wote waliotaja bei ni porojo!
hawana kila kitu, mwwnye hela anafanya mawasiliano ya direct siyo hapa kwenye wall
Tatizo nini bank au school fees?Cc1290
# DHK 963
mwaka 2003
Km 87000
Bei 11mil.
Karibu tuongee
Mawasiliano
0713926364
Haina tatizo lolote.....
View attachment 444757View attachment 444758View attachment 444759View attachment 444760View attachment 444761View attachment 444762View attachment 444763
Kula 8.5 ipoLete 9.8mil
Mkuu hali ya uchumi ndio kikwazo ila ukiwa bado hujapata mteja pls usikose kurudi kwanguLete 9.8mil
Sawa,kula 12m
Kwasasa hali imekuwa mbaya sana. Kama una kitu unataka kuuza. Utauza kwa hasara tu labda tusubiri hali ikae sawa.hata afanyeje, hatapata zaidi ya tano, wote waliotaja bei ni porojo!
hawana kila kitu, mwwnye hela anafanya mawasiliano ya direct siyo hapa kwenye wall