Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,684
- 8,833
Mume Wangu amekukosea nini?
Kila siku kumsakama wewe tu kwa mabosi.
Makochi na Gari ndio vinakufanya ukamsemee kuwa anashi maisha ya juu kuliko mshahara wake?
Kama hujui furniture za bei rahisi zinakopatikana sema upelekwe.
NYUMBA tunayoishi ni ya kupanga inakuwaje unatokwa na Roho?
Kwenda kukaa uswahilini hukulazimishwa uliamua mwenyewe. MUNGU anakuona na atakuhukumu kwa Hili.
FITNA zako hazitamuondoa Mume Wangu kazini hata siku MOJA.
KARMA ITAKUHUKUMU HAPA DUNIANI WEWE NA UZAO WAKO.
Mbinguni pia utaipata adhabu ikufaayo.
Kila siku kumsakama wewe tu kwa mabosi.
Makochi na Gari ndio vinakufanya ukamsemee kuwa anashi maisha ya juu kuliko mshahara wake?
Kama hujui furniture za bei rahisi zinakopatikana sema upelekwe.
NYUMBA tunayoishi ni ya kupanga inakuwaje unatokwa na Roho?
Kwenda kukaa uswahilini hukulazimishwa uliamua mwenyewe. MUNGU anakuona na atakuhukumu kwa Hili.
FITNA zako hazitamuondoa Mume Wangu kazini hata siku MOJA.
KARMA ITAKUHUKUMU HAPA DUNIANI WEWE NA UZAO WAKO.
Mbinguni pia utaipata adhabu ikufaayo.