Mabibi na mabwana wa jamiiforums hodi! Baada ya kukaa nje na kufurahia ladha ya JF kama guest, leo nami nimeona ni vyema nijitose kuogelea humu ndani.
Nimependezwa na kila kitu kinachotendeka...
Habari wana jamvi..
Km kichwa kinavyojieleza apo juu,nimekua mfuatiliaj wa mda mrefu juu ya mijadala mbali mbali,hivyo nimeona nami nijiunge nanyi ili nipate kuelimika na mambo mengi yanayojiri...
Hoji jf. Baada ya kuingia mjini week iliyopita rasmi naomba niungane na ninyi. Wanaume wa dar salam habari zenu. Kuanzia leo rasmi mimi ni mwanaume wa dar. Asikuambie mtu kuwa mwanaume wa dar ni...
Mimi ni mgeni humu ndani jamani, nilipata shida kidogo kujiunga na kutambulika kama member kamili lakini hatimaye nimejiunga. Nikaribisheni ndugu zangu[emoji120]