Hapa kazi tu!!!!!
Serikali imetuambia tuache kutegemea vya kupewa tuchape kazi!
Nyie nani aliwaambia mkijipendekeza kujitolea mtapewa ajira?
Eti mnalalamika Abadallah kuajiriwa mara 196 acheni...
Nilikua NaomBa kwa anaejua vizuri kuhus ajira portal Mana kwangu Ina asilimia 90 Ila nikitaka kuomba kazi inaandika failed sijui shida Ni nn hasa Mana na kwenye declaration inagoma kueka katiki kale
Imefikia takribani miezi miwili tangu tarehe ya mwisho kufanya maombi ya kazi za Wizara ya Afya. Kitaa kigumu, ninasubiri ahueni kama ikitokea kupata hizi kazi. Wizara fanyeni mambo.
“Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. @SuluhuSamia ameridhia kibali cha kuajiri watumishi 21,200 wa Kada za Ualimu na Afya.
“Idadi ya Watumishi watakaoajiriwa ktk Kada za Ualimu ni...
Mambo vp viongozi
Natafuta kazi wapendwa nina elimu katika ngazi ya Diploma in Information Technology .
Nina Experience katika
Network troubleshooting
LAN configuration
Computer maintenance...
Awali ya yote nianze kwa kutoa pole zangu kwetu watanzania wenzangu kwa kuondokewa na aliyekuwa Rais wetu wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania, Dr John Pombe Joseph Magufuli.
Hiyo ndiyo njia yetu...
Habari,
Kwa majina naitwa Mr. Makemba Mimi n mtalaam Wa Ufugaji samaki nina uzoefu Wa kutosha Juu ya Ufugaji samaki, masoko na processing, nimemiza shahada ya sayansi ya maji na uvuvi(bsc in...
Kwa wanaokuja Dodoma kwa interview weekend na wanaitaji kubook hotel au lodge tuwasiliane
Pia kwa watakaotaka usafiri toka siku yakufika adi eneo la interview tupo tayari kupokea booking.
Natafuta gari la biashara ya taxmtandaoni(uber,bolt,paisha)
Mim kijana wa kitanzania ninae tafuta ajira ili kujikimu kwenye haya maisha,natafuta gari la biashara kwa ajili ya tax mtandaoni na...
Wakuu nmeitwa magereza usaili ngazi ya wilaya na niliomba kama form 4 na nina degree, vp kwwnye suala la vyeo uko jeshi la magereza na je kuna usaili mwingine zaidi ya hapa wilayani?
Habari za Mahangaiko Members.
Mimi ni kijana wa kiume (27), Naishi Dar es salaam.
Elimu ya Form Six
Nimekuja mbele yenu kuomba Msaada wa Kazi iwe Kibarua kwa siku au kwa mwezi....nipo tayari...
Habari wadau humu. Mimi ni dereva mwenye leseni daraja C naleta maombi kwenu kwa yoyote mwenye gari au anajuwa mtu mwenye gari haice au Rosa na anataka dereva basi naomba aniunganishe. Mimi...
Huu ni zaidi ya usanii kama si uhuni. Yaani watoto wa maskini wanasafiri kutoka Mpitimbi Songea Vijijinia au Mkwenangi Katavi kuja Dodoma kufanya Usaili na kuambilia patupu kumbe kuna watoto wa...
Habari wandugu
samahani Kuna suala Lina nitatiza kidogo naomba anayejua mwongozo kidogo anisaidie.
Nimemaliza mwaka jana chuo ngazi ya degree ya ualimu Sasa wote tunajua changamoto ya kazi za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.