Asalam alykum wana jamvi mwenye kamusi kiswahili kwa kiswahili
Na kingereza kwa kingereza Naomba msaada nimejaribu kupakua nimeshindwa
Natumia IPhone 8+ nyingi kwenye App Store ni hela
Samahani...
Habari wadau.
Natafuta Kamusi teule ya Kiswahili soft copy PDF.
Hii ni kamusi ya Kenya bila shaka.
Mwenye kuweza hata kunipa Link ya kupakua
itakuwa vizuri tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.