Mm ni kijana umri ni zaidi ya miaka 30. nilipatwa na tatizo la mbegu kupungua kila baada muda fulani (meizi kazaa) na niliwahi kufanikiwa watoto uko nyuma lakini kwa sasa imekua mtihani, kwani...
kwa sasa kuna idadi kubwa ya watu wanaofanya uzinzi/uasherati baada ya kujipima kwa kutumia hivi vipimo vya bio line ili kujua kama wameathirika na ukimwi. Naomba kufahamishwa uhakika wa hivi vipimo.
Wadau nimekua nikisikia kwamba eti mtoto akianza kuota meno huwa anaharisha.
Mwanangu mi alipoota vijino vinne vya mbele sikuona hiyo hali ila sasa ameanza kuongeze mengine naona choo chake...
Matatizo ya kibofu cha mkojo yanasumbua wazee wengisana africa na dunia kwa ujumla.Unapozungumzia prostate anlargement-ni tatzo linalosababishwa na kukua kwa tezi ambazo zikishakutana husababisha...
habari wana jf. hiki ni kitu gani; nikienda kukojoa napata mauvivu mkojo ukikaribia kuisha pamoja na damu kutoka. je hili ni tatizo gani? msaada wenu tafadhali
Me naumwa minyoo ambayo huwa nahisi kama wadudu wanatembea ndani ya mwili nilienda kupima nikakutwa nayo bt nimetumia dawa mbalimbali huwa nahisi unafuu kisha inarudi after 2 weeks nimetumia...
Nna rafiki yangu ana tatizo la muwasho ukeni kutoa ute mzito wenye harufu vijipu vinavozuka na kupotea vinatoa usaha ...pia huenda hedhi baada ya kukaa mda mrefu sana hata miez sita hadi nane na...
Ndugu zangu naomba msaada wenu wa kimawazo na tiba mke Wangu anaujauzito Wa miezi mitatu kila ikifika joini anapatwa na kikohozi cha ajabu muda Wa dk 35-45 na baada ya hapo anapata ahueni na...
Naombeni ushauri jamani nipo kwenye ndoa nina mwaka sasa natafuta mtoto na mke wangu imekuwa ngumu,nimepimwa sperms zipo poa na yeye kapigwa ultrasound yupo poa, mpaka najiuliza labda tunakosea...
Nililetewa zawadi ya shower gels za Axe toka U.S na shem wenu.Nikatokea kuzipenda sana kutokana na harufu yake nzuri,si mnajua tena,pale kwenye label yake imeandikwa UNLIMITED FEMALE ATTENTION...
Habari zenu wadau? mimi ni mmoja kati ya members wa jf wa muda mrefu!
nimeamua tu kutumia hii id just to reserve my face from stones!
jamani ni hivi, hapo kabla nilikuwa na tatizo kubwa sana la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.