JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kuna baadhi ya walimu bana walikuwa hawana shida na mwanafunzi kabisa. Leo nimeikuta hii Facebook nikamkumbuka mwalimu wangu aliyekuwa anapenda sana kusema hivi.
4 Reactions
8 Replies
409 Views
Nataka nijue tu kuna sometimes unaamua kupunguza kulewa kwenye ma bar na wanawake unaamua sasa kuwa unakunywa 2,3,4 mazingira ya karibu na nyumbani. Ila mke anaanza kuleta tofauti anadai usinywe...
1 Reactions
1 Replies
324 Views
Niongeze nini?iwe mlo kamili Karibuni
15 Reactions
71 Replies
2K Views
Mtu utasikia anadai anaenda sehemu kula bata ila akifika anakunywa soda chips labda na kipande cha kuku. Kwani kula kwa tunavyohisi ni kitendo cha starehe yaani yawe mambo yenye utofauti kidogo na...
13 Reactions
119 Replies
3K Views
Kipindi cha uchumba: ushatolewa posa mwenyewe unangoja kufunga ndoa aisee hiki kipindi binafsi nilienjoy sana na sio Mimi tu Bali wanawake wengi hufurahia kipindi hiki.. Kipindi cha mimba...
13 Reactions
31 Replies
1K Views
1. Rais 2. Wabunge Majimbo yatakuwa majukwaa ya JF. Tutapendekeza majina. Hakuna kuhusisha vyama. Tunaweza chagua mwenyekiti wa kuongoza uchaguzi.. kimsingi sisi wengine tupate uongozi angalau...
5 Reactions
15 Replies
685 Views
Nawapenda sana na nawatakieni jioni njema wadada wa Jamiiforums mtag mdada unaempenda na unae mkubali sana mimi nawakubali hawa👇👇 FaizaFoxy Kasie Dr Lizzy Depal dada yangu Jadda Kalpana Unique...
8 Reactions
48 Replies
2K Views
Naomba nikosolewe au kupongezwa kwa utaratibu nilioelekeza nyumbani kwangu kwamba ni marufuku wife kupokea shukrani za mgeni anaeshukuru kwa chakula. Hii imekua ikitokea hata kwa wageni ambao...
16 Reactions
49 Replies
3K Views
I pray that God will lead you every step of the way during this difficult time. My Condolences on your moms death. Mahondaw Mahondaw
5 Reactions
33 Replies
28K Views
Nimewatazama wazee wangu pamoja na marafiki zangu ambao ni wazee, nimegundua miili yao haiongezeki zaidi ya kupukutika; ile minofu iliyokuwa inaficha mifupa inapotea. Sasa najiuliza swali kwa...
12 Reactions
50 Replies
14K Views
Aisee naona kama nimeshindwa tena kuwapiga sound mademu yaani siku hizi sound zangu naona kama zimeisha nguvu kila demu ninaemtongoza now simpati sijajua shida ni nini maana hadi nimekata...
4 Reactions
18 Replies
23K Views
Mambo yalipofikia sio mazuri. Nadhani inahitajika busara ya ziada kufundishana na kuelekezena pasipo kubughudhiana na kutukanana. Kina dada wa JF mnataka tufanye nini! tutafute mbinu zipi...
53 Reactions
875 Replies
55K Views
Naisubiri siku hii kwa hamu niamke mwenye hasira kiasi cha kutaka kuua mtu na si mmoja Kabla ya kulala usiku huo nitakunywa pombe nyingi na bangi nyingi ili nikiamka niwe nazo kichwani na...
5 Reactions
23 Replies
2K Views
Nasikia kuwa mwanamke akikuchukia ni amekupenda sana . Nauliza hivi maana kuna mwanamke hapa karibu na sehemu nilipo ananichukia sijapata kuona chuki ya namna hii . Wadada wa jamii emu...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
🙏🙏🙏🙏Nasema Ahsante waziwazi. Msioamini kazi kwenu.
4 Reactions
21 Replies
1K Views
Je wajua kama uu*me wa mwanaume ni kitu chepesi kuliko vyote ulimwenguni.. inaweza ikainuliwa kwa mawazo tu..[emoji85]
7 Reactions
18 Replies
9K Views
Katika pitapita zangu leo jioni maeneo fulani ya kujidai nikakutana live na mwanajf mashuhuri sana hapa kutokana michango yake ya ajabu kwenye nyuzi tofauti tofauti. Amenichangamkia sana sikuwahi...
8 Reactions
35 Replies
1K Views
Huu ni utafiti wangu binafsi nilioufanya kulingana na curiosity nilokuwa nayo kujua hili na lile katika masuala mazima ya udereva na jinsi madereva wanavyoliendesha gari langu kulingana na life...
7 Reactions
43 Replies
1K Views
Usiombe apate namba ako alafu upokee simu yake au ujibu hata txt yake moja tu. Ndani ya dakika 5 unajuta kwa nini aliumbwa mfupi. Samahani kwa wale wafupi ambao mpo humu. JIREKEBISHENI
9 Reactions
14 Replies
589 Views
Kwa wanawake akiniwekea hivyo najua hana mwanaume mmoja yaani ana mambo mengi anafanya huko kwa simu yake na hataki abambwe kama yeye ni malaya, Kwa wanaume akiweka hivyo red flag ya kwanza ni...
1 Reactions
8 Replies
681 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…