Jamii Photos

A collection of Community Photos brought to you by our members. Enjoy your stay!

On JF:

Je, mwenye nyumba amshtaki mpangaji kwa kumharibia nyumba yake? Au Mpangaji amshtaki mwenye nyumba kwa kujenga ukuta wa mchongo na kusababisha Tv yake kuvunjika? Toa maoni yako kitaalam zaidi.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nimejikuta tu nashawishika kwenda Rwanda kuishabikia Yanga itakapocheza na Al Merreikh katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Kinachonivutia si mpira wa akina Maxi Nzengeli, hapana. Ni kwenda...
1 Reactions
27 Replies
2K Views
Kwa wale wanaofuatilia Mikutano ya hadhara ya Chadema ya Oparesheni 255, kote inakofanyika, bila shaka wanafuatilia hotuba kabambe za viongozi, ambazo kwa kweli ni hotuba zinazosisimua na...
4 Reactions
5 Replies
1K Views
Huu ni uzi maalumu wa kuonesha picha na video fupi ya miji na maeneo ya nchi mbalimbali zenye maendeleo bora namna zilivyojengeka vizuri. Iwe U.S.A, Singapore, Germany, Saudia, China, Japan...
5 Reactions
64 Replies
3K Views
Habari wakuu, Natamani kuufahamu mji wa Kahama kupitia picha. Kama una picha zozote za mji wa Kahama, picha za mitaa, makazi ya watu, viwanja vya michezo, hoteli, shule, hospitali, mito...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Wakuu nisiwachoshe , amani ya Bwana ikawe juu yenu popote mlipo Bila kinyongo na share picha yangu ya mwaka huu 2023 na kwa vizazi vyangu vijavyo, thanks
6 Reactions
19 Replies
2K Views
Cheki msala kama huu ila bado mpiga picha akapata ujasiri wa kutupa Picha kabla ya kifo cha hawa watu😂😂😂
5 Reactions
10 Replies
799 Views
Nimeuliza tu ili tusije kukuta na mmoja tukampa heshima ya cheo kikubwa kumbe siye.
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Digui Dagara vs Mayele jr
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Inapingwa na watu zaidi ya milioni mia mbili ila bado inashikilia rekodi ya utamu na kupendwa na haters kimya kimya
2 Reactions
7 Replies
1K Views
the THE BIG SHOW, FaizaFoxy na Lucas mwashambwa njooni mtueleze
5 Reactions
19 Replies
2K Views
Mkeka umechanika....!?[emoji848][emoji848] Hivyo ndivyo mchora vibonzo wetu wakudata anavyotizama mabadiliko ya Baraza la Mawaziri nchini Tanzania. Umemtambua nani hapo aliyeachwa na gari? na...
0 Reactions
4 Replies
850 Views
Je Majaliwa ni muda wa kuanza kutoa kijiti au ni msaada wa ufuatiliaji wa miradi🤔.
2 Reactions
5 Replies
803 Views
Naanza na hivi hapa, mwenye favorite yake naye aweke tuvione 1. Converse All Stars 2.Nike Air Revolution 3.Pump Omni Zone Retro 4.Nike Air Force Command 5.Nike Sky Force 6.Nike Delta Force...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Explanation tafadhali
15 Reactions
86 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…