Naombeni ushauri.
Mke wangu aliongezewa damu kutokana na kuvuja damu nyingi, tatizo ni kwamba tangu ameongezewa damu, miezi mitatu ilipita, amekuwa akisikia mvutano kifuani, mapigo ya moyo kwenda...
Nilianza kuona dalili za malaria tar 31, kutokana na sehemu niliopo hakuna hosptali kesho yake nikanunu marafini nikanywa ila toka siku hiyo hali imekuwa mbaya kichwa kinauma utosini na kichogoni...
Wadau Habari zenu, Mimi ni kijana wa kiume Nina umri wa miaka 18-22 nimekuwa nikisumbuliwa na maradhi mbali mbali, typhod, malaria ,tumbo kujaa gesi , kutokupata choo, mwili wote unauma na maradhi...
KUFANYA MAPENZI KWA WANA NDOA KWA WIKI MARA 3 KUNAPUNGUZA KUPATA SHAMBULIO LA MOYO (HEART ATTACK) KWA ASILIMIA 50% WANA SAYANSI WAMESEMA.
Utafiti umebainisha kwamba kufanya mapenzi...
Plus - Letter to the editor
Maniocs Vitamin B17 kills the cancer cell in humans
Apricot seed kernels are used in the fight against cancer. The kernels contain Vitamin B17, and Vitamin B17 is...
Nilianza kuona dalili za maralia tar31,kutokana na mazingira niliokuepo hakuna hospitali kesho yake nikanywa marafin lakini hali ikazidi kuwa mbaya,kichwa kinauma sana maeneo ya utosini na kisogni...
The decision to remove the prostate is based on an examination of a tumour sample under the microscope.
However, the procedure has significant side-effects such as infertility...
Salaam ndugu zangu,
nimeona niandike ili kupata maelezo kutoka kwa wale wanaofahamu.
Nimeona kuna wakati ninapokunywa maji mengi tumbo linajaa (kwa nje linaonekana limeongezeka) na huwa...
Bandugu zangu, yaani nikila samaki sibakishi kitu, hata iwe mifupa kiasi gani, kuanzia mikia ule mwiba mpaka kichww, na nikila nyama, mfano ya kuku wa kienyeji yani, ukinikuta utashangaa, nafunja...
jaman wanandugu naomben masaada, kuna rafiki yangu, uume wake umepinda. Kwa anayeweza kufahamu tiba nzur ili kuweza kuwa katika hali iliyonyooka. Ahsanten
Nina tatizo la skin wart usoni na shingoni *kiswahili chake sikijui ugonjwa huu* na hili tatizo nimelipata baada ya kujifungua.
Je ni dawa gani naweza kutumia ili kuondokana na tatizo hili...
Wadau asalaam.Naomba anayefahamu vyakula vinavyoongeza idadi na ubora wa mbegu za kiume.Sio wingi wa shahawa,bali wingi wa mbegu za kiume.Tusaidiane jamani.
Habari waungwana!
Leo shida yangu nahitaji kupata copy ya orodha ya Dawa zilizoruhusiwa kuuzwa kwenye DUKA LA DAWA MUHIMU.
Tafadhari mwenye nayo naomba anipatie.
Ahsante!!!
JF doctor hi!
I have two problems so I need a help
2007 nilipata ajali ya gari ambapo kuna chuma kiligonga ktk bega langu la kushoto kwa pale pale nilihisi maumivu ila baadae yalipungua na...
Salamu!
kwa wale wakristo na waamini wengine ati medically speaking, na kwa physiological facts naombeni sababu zilizopelekea kifo cha Yesu.
1. hypovolemic shock
2. shock due to pain
3...
nahitaji msaada wadau, kila nikifanya mapenzi napata shida ya kuvimba sehemu ya chini ya penis ambapo nimetahiriwa kama miaka nane iliopita, tatizo hilo limeanza mwaka huu,
kwahiyo siwezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.