Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wadau hamjamboni nyote? Tumeshuhudia baadhi ya nchi duniani zikitoa matamko au misimamo yao kufuatia kifo cha aliyekuwa Kiongozi Mkuu wa kikundi cha Hamas Yahys Sinwar. Naomba kujua msimamo...
1 Reactions
9 Replies
146 Views
Imekuwa ni jambo la kawaida kwa nchi za Magharibi kuwa na kiherehere cha kuingilia mambo ya ndani ya nchi nyingine hasa katika masuala ya kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni. Nchi hizi zimekuwa...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Tulikuwa tunatafuta Kwanini Prof Sedoyeka amepelekwa tume ya maadili? Tulijiuliza kwanini tume imeweka habari yake kwenye vyombo vya habari? Tulijiuliza kwanini vyombo vya habari vinatoa promo...
3 Reactions
8 Replies
343 Views
Sijajua Kwanini kona zote za hii Bar Watu wote tunafuatilia impeachment ya Gachagua mubashara Citizen TV Natamani akina Babu Tale na Kibajaj wafikie Viwango vya akina Omutata na Sakaya Ila...
0 Reactions
2 Replies
134 Views
Wakuu Kwema ? Kwa mwenye hiki kitabu cha Almasi ya Kijani kilichoandikwa na Dkt. Dyaboli naomba anisaidie namna ya kukipata.
3 Reactions
6 Replies
638 Views
Rais wa Muungano wa Mabunge Duniani (IPU), Tulia Ackson, amewataka wajumbe kumheshimu wakati wa mkutano wa Bunge uliofanyika Geneva siku ya Jumatatu Oktoba 14, 2024. Mvutano ulianza baada ya...
29 Reactions
228 Replies
11K Views
Povu rukhsa! Nikiri tu kuwa mimi ni muumini wa mtu yeyote anayetumia akili yake vizuri. Makonda anajitofautisha sana na viongozi wengine hapa nchini. Yeye ni mchapa kazi na mbunifu sana. kwa...
2 Reactions
10 Replies
147 Views
Wakuu, IDF wametoa a brand new video inayomuonesha Yahya Sinwar kwenye moments zake za mwisho kabla hajafariki, ni video ambayo inaibua maswali mengi sana ukiitazama kwa umakini. Kwenye video...
3 Reactions
26 Replies
767 Views
“A CALL TO ACTION FOR TAX DISPUTE RESOLUTION” President Samia Suluhu Hassan has been steadfast in her commitment to economic growth and stability for Tanzania. During a recent event in Zanzibar...
1 Reactions
2 Replies
180 Views
Mkutano uliopita wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika FOCAC uliofanyika mwezi Septemba mjini Beijing, kaulimbiu ya “Kuungana Mkono ili kuendeleza Usasa na Kujenga Jumuiya yenye...
0 Reactions
0 Replies
1 Views

FORUM STATS

Threads
1,904,372
Posts
51,103,673
Back
Top Bottom