Aisee natazama mpira wa Nusu fainali Caf Champions league hapa
Naona hawa Orlando Purates ambao ndio timu ipo nyumbani, ni kucheza mpira wa butua butua tu, mashuti yasiyokuwa na malengo
Hawa...
Wanabodi
Msikilizeni nabii huyu na unabii wake kumhusu Tundu Lissu
https://youtu.be/Isx1OohuSwE?si=zw0nxdgbZx94S_2t
Nabii huyu ni nabii wa ukweli ambaye ni nabii wa Mungu au ni nabii wa uongo...
Moja kwa moja kwenye point... Nikiongea kwa niaba ya wanaume wote wenye akili sawasawa ......(Excluding all madmen)
Ndoto yetu ya pamoja Kila mwanaume ni kuwa na mke anaesuka twende kilioni nzuri...
Hii ni siri ambayo nitaitunza hadi kufa kwangu.
Tulipomaliza shule ya sekondari, tulikua hatuna cha kufanya hivyo tulikuwepo tu nyumbani. Tulikua na mazoea ya Kukiss lakini hatukuwahi kufanya...
Wakati wengine tunachukulia imani poa, Wakatoliki wapo serious wanastahili pongezi.
Sanamu haliachiwi hivihivi tu, linapigiwa magoti kwa nidhamu, linashikwa tumbo kwa adabu, Kisha linabusiwa...
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
Hapa ilikuwa hata kabla ya kugunduliwa Whatsapp, Instagram, majalida haya yalichukua umaarufu mkubwa sana Tanzania na Kenya.
Utandawaza unakuja kwa kasi sana siku hizi ni Tiktok na blogs za umbea tu.
My Take
Nakubaliana kabisa na Paulo ,hao wanaojiita Maaskofu kazi zao nk porojo za Kisiasa kishabikia Wapinzani.
Wakidhibitiwa watasema uhuru wa dini unainhiliwa wakati wanageuza majukwaa ya dini...
Ni wazi Katika harakati za maisha kuna pingamizi nyingi sana, kuna muda unapambana sana kutafuta kile unachokihitaji, unabahatika unakipata lakini kinapotea na kubakiza kama ambaye hajafanya...
Huenda kuna matajiri ulimwenguni waliopo na waliopata kuishi, kama kina Mobutu seseko, Kina King khan, Bill gates, Elon musk nk. Pia wapo matajiri wa mafuta huko Saud Arabia na watoto wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.