Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wanabodi, Salaam. Ijumaa ya leo, nimepata fursa ya kuendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Leo nazungumzia mada ya ukosefu wa fadhila, au ukosefu wa shukrani katika medani za...
49 Reactions
112 Replies
16K Views
Mchungaji Msigwa jaribu kuwa Gentleman mambo ya mipasho Siyo poa Sisi ni Wanaume tena ni Wakristo Nimeona baada ya Press ya Freeman ya Jana umemshukia kwa dharau kubwa Ukurasani kwako X...
6 Reactions
18 Replies
412 Views
Nachojua Tukio la ajali Kariakoo wakati linatokea Rais Samia alikuwa bado nchini, kaondoka nchini baada ya ya tukio kuwa tayari na taarifa alikuwa nayo, ila akapanda ndege kwenda Brazil, leo...
12 Reactions
84 Replies
2K Views
Nisiwachoshe sana, tabia za huyu rafiki yangu ni hizi. *Ananizungumzia vibaya kwa masela nikiwa mbali, inafika point anawaambia wajaribu kuanzisha ugomvi na mimi halafu yeye atawalipa pesa...
1 Reactions
28 Replies
198 Views
Kuna benki kadhaa hap nchini imekuwa ni kama utamaduni / mazoea mtu kukalishwa muda mrefu mpala lisaa unasubiri kuweka / kutoa pesa. Ni kweli mawakala wapo lakini kuna sababu zinatulazimu kwenda...
1 Reactions
10 Replies
237 Views
Habari Habari Hapa tena na tena ndugu yangu kijana wenu nimekuja kwa unyenyekevu sana ndugu yenu. Kwa ufupi ndugu yenu ninaomba msaada na nina matumaini nitafanikiwa kwa maana hapa JF kuna...
9 Reactions
79 Replies
6K Views
Jana nimetoka zangu kazini jioni kuna jamaa yangu kanipitia, mr pipa kuna ka elfu 20 hapa tukale mtungi. Mimi mambo si haya na ukicheki nipo ugenini mke nimemuacha home, basi nikaoga zangu huyo...
18 Reactions
30 Replies
947 Views
Unamkumbuka yule aliyekuwa mvuvi kijana Majaliwa aliyeokoa wahanga wa ajali ya ndege ya precision. Baada ya lile tukio alipelekwa kwenye mafunzo ya kijeshi kikosi cha uokoaji. Sasa hii ajali ya...
23 Reactions
61 Replies
3K Views
  • Article
Waungwana kuna ukweli gani hapa kuwa Kule Marekani kuna mji unaitwa Centralia, uko Pennsylvania. Mji huo umekuwa ukiteketea kwa moto tangu mwaka 1962, na inasemekana moto huo utaendelea kuwaka...
0 Reactions
2 Replies
182 Views

FORUM STATS

Threads
1,914,480
Posts
51,402,044
Back
Top Bottom