Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Aisee natazama mpira wa Nusu fainali Caf Champions league hapa Naona hawa Orlando Purates ambao ndio timu ipo nyumbani, ni kucheza mpira wa butua butua tu, mashuti yasiyokuwa na malengo Hawa...
1 Reactions
18 Replies
244 Views
Wanabodi Msikilizeni nabii huyu na unabii wake kumhusu Tundu Lissu https://youtu.be/Isx1OohuSwE?si=zw0nxdgbZx94S_2t Nabii huyu ni nabii wa ukweli ambaye ni nabii wa Mungu au ni nabii wa uongo...
1 Reactions
6 Replies
14 Views
Moja kwa moja kwenye point... Nikiongea kwa niaba ya wanaume wote wenye akili sawasawa ......(Excluding all madmen) Ndoto yetu ya pamoja Kila mwanaume ni kuwa na mke anaesuka twende kilioni nzuri...
8 Reactions
46 Replies
342 Views
Hii ni siri ambayo nitaitunza hadi kufa kwangu. Tulipomaliza shule ya sekondari, tulikua hatuna cha kufanya hivyo tulikuwepo tu nyumbani. Tulikua na mazoea ya Kukiss lakini hatukuwahi kufanya...
6 Reactions
118 Replies
2K Views
Wakati wengine tunachukulia imani poa, Wakatoliki wapo serious wanastahili pongezi. Sanamu haliachiwi hivihivi tu, linapigiwa magoti kwa nidhamu, linashikwa tumbo kwa adabu, Kisha linabusiwa...
17 Reactions
199 Replies
3K Views
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
291 Reactions
170K Replies
5M Views
Hapa ilikuwa hata kabla ya kugunduliwa Whatsapp, Instagram, majalida haya yalichukua umaarufu mkubwa sana Tanzania na Kenya. Utandawaza unakuja kwa kasi sana siku hizi ni Tiktok na blogs za umbea tu.
8 Reactions
19 Replies
199 Views
My Take Nakubaliana kabisa na Paulo ,hao wanaojiita Maaskofu kazi zao nk porojo za Kisiasa kishabikia Wapinzani. Wakidhibitiwa watasema uhuru wa dini unainhiliwa wakati wanageuza majukwaa ya dini...
3 Reactions
30 Replies
441 Views
Ni wazi Katika harakati za maisha kuna pingamizi nyingi sana, kuna muda unapambana sana kutafuta kile unachokihitaji, unabahatika unakipata lakini kinapotea na kubakiza kama ambaye hajafanya...
130 Reactions
965 Replies
155K Views
Huenda kuna matajiri ulimwenguni waliopo na waliopata kuishi, kama kina Mobutu seseko, Kina King khan, Bill gates, Elon musk nk. Pia wapo matajiri wa mafuta huko Saud Arabia na watoto wa...
6 Reactions
60 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,960,780
Posts
52,864,119
Back
Top Bottom