Wanasoka tumeteseka
WanaSimba tumeteseka
WanaJF tumeteseka
Kila mtu ameteseka
Hata wanaUto wameteseka
Wameteseka wiki nzima wakiisubiri kandanda saafi ya Mnyama Simba
Hakuna yasiyo na mwisho...
Kuna baadhi ya ndugu zetu humu huwa Wana kawaida ya kupinga uwepo wa Mwenyezi Mungu licha ya kwamba kuumbwa kwao kunadhibitisha kabisa kuwa hakika yupo Mola wa walimwengu ambaye ndio muanzilishi...
Najuta kuchukua star X [emoji17][emoji55][emoji2418], of course iko vzur Quality HD, muonekano mzuri deep black (margin nzur + kioo) zote n deep black sio unakuta margin nyeus kuliko kioo...
Habari zenu wakuu, poleni na majukumu.
Kama kichwa kinavosema hapo juu, nina wiki sasa tokea nimeondoka nyumbani na kuamua kutafuta maisha ya kujitegemea, kwasasa ninaishi Kigamboni na nimeamua...
Kusema kweli hili jambo silielewi kabisa, kwani polisi ni wale wale,je ni kwa nini hivi sasa kuna ongezeko la vibaka na matukio ya kihalifu na hawaogopi uwepo wa vyombo vya dola?
Je, huenda ni...
Sielewi ni kwa nini mpaka wakati huu kuna ukatili wa viboko mashuleni.
Adhabu za viboko chimbuko lake ni shule za kikoloni ambapo wanafunzi weusi walikuwa wanatandikwa kama wanyama. Ukienda nchi...
Najua Kocha Mgunda ni Muoga na aliogopa Lawama Kumtoa ila kama kuna Wachezaji ambao leo wamecheza hovyo / vibaya na najua Kocha wangu Mkuu, Fundi na Mtaalam Roberto Olivieira angekuwepo angewatoa...
Miaka michache ijayo sijui kama kutakua na wanaume hapa Dar
Nasema haya kwasababu mashoga wanaongezeka kwa kasi sana ushoga umekua ni jambo la kawaida hapa Dar
Sidhani kama kuna mtaa dar ambao...
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu, leo amekutana na kufanya mazungumzo na Makatibu wa Kanda wa CHADEMA Mjini DSM.
Ikumbukwe kwamba Makatibu wa Kanda...
Full name: Manchester United Football Club
Nickname(s): The Red Devils
Founded: 1878 as Newton Heath LYR F.C | 1902 as Manchester United F.C.
League: Premier League
Website: ManUtd.com...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.