Said Bagaile
JF-Expert Member
- Jun 23, 2011
- 686
- 256
Nilikuwa kwenye harusi ya Jaquline Mjengwa, binti wa Kanali Mjengwa aliyewahi kuwa Mbunge wa Rujewa, Kanali Joel Ramadhan Mjegwa.
Kituko nilichokiona kwenye harusi ile ambayo ilikuwa ikiendeshwa na MC Ephrahim Kibonde (Mtu wa Kujipendekeza sana kwa viongozi wa CCM), akaanza kuwaita Martin Shigella, Katibu mkuu wa UVCCM kuja kusalimia na kisha Samuel Sitta.
Alipoinuka tu Mh. Sitta meza moja ya vijana ikaanza kumshangilia kwa kuimba CCJ, CCJ, CCJ na kudakiwa na meza nyingine kitendo kilichomfanya Mh. Sitta asite kwanza kusema lolote mpaka hali ilipotulia, kwa aibu akatoa nasaha zake chache za kizamani na kurudi kukaa akijichekeshachekesha kwa Aibu.
Kituko nilichokiona kwenye harusi ile ambayo ilikuwa ikiendeshwa na MC Ephrahim Kibonde (Mtu wa Kujipendekeza sana kwa viongozi wa CCM), akaanza kuwaita Martin Shigella, Katibu mkuu wa UVCCM kuja kusalimia na kisha Samuel Sitta.
Alipoinuka tu Mh. Sitta meza moja ya vijana ikaanza kumshangilia kwa kuimba CCJ, CCJ, CCJ na kudakiwa na meza nyingine kitendo kilichomfanya Mh. Sitta asite kwanza kusema lolote mpaka hali ilipotulia, kwa aibu akatoa nasaha zake chache za kizamani na kurudi kukaa akijichekeshachekesha kwa Aibu.