Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kawatumbukiza mamluki humu ndani si mchezo,na Lowasa alivyo na akili inayofanana na hayo manywele yake maupe km ya kondoo,anaimani tosha kuwa yeye ndo rais 2015.
Umefika mwisho au unaendeleaNilikuwa kwenye harusi ya Jaquline Mjengwa, binti wa Kanali Mjengwa aliyewahi kuwa Mbunge wa Rujewa, Kanali Joel Ramadhan Mjegwa. Kituko nilichokiona kwenye harusi ile ambayo ilikuwa ikiendeshwa na MC Ephrahim Kibonde (Mtu wa Kujipendekeza sana kwa viongozi wa CCM), akaanza kuwaita Martin Shigella, Katibu mkuu wa UVCCM kuja kusalimia na kisha Samuel Sitta. Alipoinuka tu Mh. Sitta meza moja ya vijana ikaanza kumshangilia kwa kuimba CCJ, CCJ, CCJ na kudakiwa na meza nyingine kitendo kilichomfanya Mh. Sitta asite kwanza kusema lolote mpaka hali ilipotulia, kwa aibu akatoa nasaha zake chache za kizamani na kurudi kukaa akijichekeshachekesha kwa Aibu.
hapa kuna mawili,either huna elimu hata kidogo,au umetumwa na EL,chagua moja hapo!Hili lizee hovyo kabisa: lili i-personalize issue ya richmond kwa maslah yake matokeo yake jamii zote zimekalia kujadili mijadala ya ufisadi isiyoisha na isiyokuwa na majibu.
upupu umeiiingiiiiaaa aaahhh upupu umeingiiia aaaha wachaa nichomoke yekekkee kula yekeke yekeyeke