Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Wakuu tumechoka na ufisadi wa magamba. Siyo mawaziri,Siyo midomo michafu kama Ben Mkaa-Hapa, Siyo wazinzi kama yule wa Morogoror aliyelizwa na CD na takataka zote. Hatuwezi kuzidi kukaa kimya. Wanayafanya maisha kuzidi kuwa magumu kwetu, huku wakifuja jasho zetu. Dawa sasa ni kuanza zomea zomea kila tunapokutana nayo. Kwenye kampeni popote pale tuanzeni zomea zomea kwa hawa magamba !
Haya yote yatakaposhindikana tutaanza People's power
Haya yote yatakaposhindikana tutaanza People's power