Je vipi ngedere na pakaNg'ombe,Kondoo,Mbuzi,na Punda.
Je vipi ngedere na pakaNg'ombe,Kondoo,Mbuzi,na Punda.
Ndio maana yakeKusajiriwa kivipi..nako wataka tozo uwiiii doshila lolo.
#MaendeleoHayanaChama
Pamoja sana Mkuu.Poa poa nashukuru mkuu na uzuri Ni pure local chicken.. nashukuru kwa Ile video ya mwizi pia
Bhagosha geke..hange engombe jiswe shibhalwe..shinw shitambulisho gete sha NIDA..hiii yaya gete.Genaya makomokilwa ga ng'wa magufuli? Hiiiii
Je vipi ngedere na paka
Mbwa je???
Pia mfugo, Majini je?Mbwa je???
Hao bila shaka wanasajiliwa kwa shetani🥱Na wafuga majini wanasajilia wapi ?
Na kuwe na matangazo radioni; tv na magazeti ili watu wote waelewe.Hizo ni siku chache sana, angalau iwe miezi mitatu mpaka sita.
Malisho na dawa ni kitendawili hiyo sajili ikoje Nini Serikali inasaidia?Hii ndio Taarifa iliyosambazwa na Wizara ya mifugo , Ewe Mfugaji kabla ya kukumbana na faini hiyo Sajili mifugo yako mapema .
Chanzo : Habari Leo
USIJE KUSEMA HATUKUKUAMBIA .
Genaya makomokilwa ga ng'wa magufuli? Hiiiii
Kama vile line za simu tuu, sailing mifugo yako.Kusajiriwa kivipi..nako wataka tozo uwiiii doshila lolo.
#MaendeleoHayanaChama
wapi tumepinga ?Wazee wa kuvuta shati nyuma,nchi inachanja mbuga we baki kupingapinga tuh na kusaka kosamoja
Panya, kunguni, chawa, virboto, .....