Tangu jana huku Iringa zoezi la kuhesabu watu limesimama kutokana na ukosefu wa madodoso marefu. pamoja na serikali kujitapa kuwa vifaa vipo. wananchi wamehamasishwa na kuhamasika tatizo liko kwa serikali. vifaa havipo na sasa tumepata taarifa kuwa wanapiga fotokopi japo madodoso tuliambiwa yangesomwa na computer.
Maswali yangu ni haya:
Je sensa imekuwa ya dharura?
Je makarani wataongezewa muda na pesa baada ya muda uliopangwa kuisha?
Ni nani amekwamisha vifaa visifike mapema?
Hiiserikali ni nini inachoweza kukifanya kwa ufanisi pasipo manung'uniko?
sensa ni kila baada ya miaka kumi je iweje leo ionekane ni kitu cha dharura?
Kweli Serikali hii ya CCM hakuna dawa naamini wamegawanahela matokeo yake ndo haya hakuna pesa, vifaa.
Hata hawa waliofungwa waachiwe kwani hata wangekuwepo wasingehesabiwa maana vifaa havipo. waacheni hao mnawaonea bure.
Maswali yangu ni haya:
Je sensa imekuwa ya dharura?
Je makarani wataongezewa muda na pesa baada ya muda uliopangwa kuisha?
Ni nani amekwamisha vifaa visifike mapema?
Hiiserikali ni nini inachoweza kukifanya kwa ufanisi pasipo manung'uniko?
sensa ni kila baada ya miaka kumi je iweje leo ionekane ni kitu cha dharura?
Kweli Serikali hii ya CCM hakuna dawa naamini wamegawanahela matokeo yake ndo haya hakuna pesa, vifaa.
Hata hawa waliofungwa waachiwe kwani hata wangekuwepo wasingehesabiwa maana vifaa havipo. waacheni hao mnawaonea bure.