Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,893
Jana akiwa anahojiwa na waandashi wa Alasiri alisema endapo watamchukulia hatua yoyote kwa yale aliyoyasema Bungeni basi watazomewa na wananchi kama walivyozomewa katika lile sakata la Buzwagi!!!