Leo asubuhi Mh. Zitto kamchachafya kidogo spika wa bunge
Zitto: Mh. Spika kuna kiti kiko wazi kwa maana kwamba mwenzetu mmoja ameamua kubwaga manyanga kwa taarifa tulizonazo. Sasa tungependa kujua kama ushamwandikia barua mwenyekiti wa tume ya uchaguzi kumjulisha aitishe uchaguzi ili tukachukue jimbo letu.
Spika: Hata mimi hizo habari nimezisikia kwenye mtandao tu bado sijazipata rasmi, kwa hiyo usitupotezee muda.
My take,
Chadema wanataka jimbo, je itawezekana??
Zitto: Mh. Spika kuna kiti kiko wazi kwa maana kwamba mwenzetu mmoja ameamua kubwaga manyanga kwa taarifa tulizonazo. Sasa tungependa kujua kama ushamwandikia barua mwenyekiti wa tume ya uchaguzi kumjulisha aitishe uchaguzi ili tukachukue jimbo letu.
Spika: Hata mimi hizo habari nimezisikia kwenye mtandao tu bado sijazipata rasmi, kwa hiyo usitupotezee muda.
My take,
Chadema wanataka jimbo, je itawezekana??