Huyu zitto ni jembe sana bado tunahitaji chalenge zake sana maana bado kijana na mawazo ya kujenga sio kama wale wafanya vurugu
Zitto ameahidiwa uwaziri endapo ccm itashinda, mwache aende maana alikuwa haeleweki ndani ya chama.
Huyu zitto ni jembe sana bado tunahitaji chalenge zake sana maana bado kijana na mawazo ya kujenga sio kama wale wafanya vurugu
Ben kapiga Multiple scores no matter what you say.......Kwanza aliona right way, alichofanya kukisimamia against popular and wild Zitto,psychopathic aliye tayari kusema na kufanya lolote kumuondoa anayemwekea usiku, ni kuamua panda kilimanjaro huku watu wato wote hata wanaotoa vibali wakiwa vikwazo, na baadae kupanda mlima, then watu wenye maumbile tofauti nao wakapanda mlima.Ben alikuwa na critics wengi sana, akasimama na kusema yupo tayari kuthibitisha, na yote aliyosema yametokea na yanaendelea tokea.......ni avalance ............bado ataumbuka sana Zitto.
Kajiona kuwa ni mjuaji kwa kublack mail kila mtu on his ways, ktk siasa, chama chake, ktk jamii kaingia kwa wasanii ili awaibie ring tones ,kwenye madini kote kanyamazishwa kwa hela.Soon utasikia na wasanii nao wakikomoaa naye...
Zitto ameahidiwa uwaziri endapo ccm itashinda, mwache aende maana alikuwa haeleweki ndani ya chama.
Nicholas, tatizo la uchambuzi wa matatizo ya psychology ni kwamba hakuna mzima. naweza nikachambua word selection yako katika argumentation zako nyingi hapa nikakuta wewe pia ni mgonjwa. Kwa hiyo tofauti zetu ni degrees--au pengine niseme viwango vya kuumwa. Hilo linazusha haja ya kuvumiliana katika ubinadamu wetu. Lakini pia ukifanya individual cost-benefit analysis ya hatma ya mwisho ya maamuzi ya mtu ndiyo hupunguza hukumu ya tendo lenye sura ya wehu. Hii ndiyo dhana inayotumiwa kuruhusu vita.
bottom line ya uamuzi wa zitto ni nini kwake at individual level? kwanza ataepuka migogoro ya kisiasa ambayo ni mingi. anataka kazi isiyokuwa na migogoro mingi. anataka amani at individual level. kuna wehu gani katika kutafuta a peaceful life? nadhani ni vizuri ukifuta kauli....usimwite zitto psychopath. hii kauli si sahihi.
so you mean kuna combination ya Zitto na Makamba 2015?hawezi kuacha siasa anataka kuwa wazir mkuu wa tz maana katiba mpya haiitaji wazir mkuu ambae ni mbunge huyo kijana anaona mbali anataka ajiunge na ccm ili makamba ampatie u pm
hiyo ndo plani cdm mpooo
Hawa watoto ni wafu ingali wapo hai, ndio maana mabasha wanaongezeka kila siku kwa ajili ya watoto wenye njaa kama hawa ambao wako tayari kupakatwa ili wahongwe GX 110, kina dada wawe makini na vijana kama hawa njaa kali kwani wanawamezea matr hata mariana wa dada zao.
Haha..km issue ni degree then kuna degree fulani ya kuumwa ni an acceptable.Otherwise hata vichaa watagombea urais ingawa kila mtu ana kiasi fulani cha wendawazimu.
Km nikuondoka ni vyema sana kwake,ila kwa jinsi alivyochelewa na alivyoji bahave, na atakchofanya tena kina mpact kwa simple minded people ambao si rahisi kwake kuacha drama zake.
Sijui ataibukia magamba km vijana wake au lah..lets see.
ndo maana yake...nawashauri hata kina lisu,mnyika,msigwa,lema,nasra,sugu,mdee waachane na ubunge,wasubiri kuja kuwa mawaziri,japo tena ccm ikishinda itakuwa imekula kwao.
Vijana wengi wa kitanzania ni wajinga, naona wimbi la vijana hapa JF wakidhihirisha ujinga. Zitto mwenyewe kama kasema kuwa hatagombea urais basi nae namweka kwenye kundi la wajinga.
Sielewi. Kwani Zitto hata akiutaka urais hawezi kugombea 2015 katiba haimruhusu, na pia hata km katiba haimruhusu kabla yaa kutoa dhamira atambue ktk chama kuna mchakato wa kumpata mgombe urais (wapo wengi chadema).
Ukiona mtu anaimba hii chorus ya Zito kusema hatagombea urais ni alama ya ujinga. Ni sawa na Juliana shonza, au mtela aseme nimeahirisha 2015 sitagombea urais. Alafu wewe unaanza kujenga hoja kuhusu hiyo kauli na unasikitika while in a real sense hata wangetaka wasinge weza sababu ya umri.
Zitto amegundua katiba mpya haitamfavor na pia amepoteza ile catch aliyokuwa nayo, siyo vibaya akapumzika labda (aje kuwa waziri km katiba itaruhusu ndicho anachowaza maana rasimu inaonesha mawazir hawatatokana na wabunge).
Zitto hana tofaut na JK. Anapenda kufanya movement within institution in the end apate reward yeye mwenyewe, na aonekane yeye ndio don. Kama jambo halimpi sifa yeye binafsi hawezi kulifanya (ubinafsi na sifa)
Ana tabia ya usaliti. Sasa hapa ni tabia ya watu wa kigoma (wild kaborou, nsanzugwanko, david kafulila)..hata tafuta mtu wa kigoma hapo ulipo wana asili ya kutait.
Pia sio msaada ndani ya cdm..ikumbukwe 2010 wakati wanamnadi Slaa yeye anajinadi kuwa atagombea urais, wakati wenzake wanapambana na wizi wa kura yeye anapigiana simu na Jaki zhoka, wakati wenzake wanalounch M4C yeye yupo na akina Ben sanane,akina juliana shonza wanajenga mikakati ya kumpindua mbowe, wakati wenzao wanaamsha maandamano yeye yupo na cloudsfm anaongea dili na ruge kuanzisha kampuni ya PERA ringtones.
In short Zitto ndani ya chadema hana lolote watu ambao wanakijenga chama wanajulikana. Zitto nadhan anajua kucheza na akili za watanzania wajinga ila sio mimi.
Mkuu hivi hawa vijana wamekosea wapi?Nimeona comment ya Yericko Hapo juu ambaye ni mwanachama na haina ubaya wowote labda uje useme ni kipi walichoandika kibayaKabisa,
Na kwa kias kikubwa sana CHADEMA kinapitia wakati mgum sana kwa sasa,asilimia kubwa ya vijana sampuli hiyo wamekimbizia matumain kwa CHADEMA moja kwa moja na kuacha kuhangaika kufanya kazi na kutafuta namna ya kujikwamua na utumwa wa fikra,
Wanadhani kama CHADEMA kikiingia madarakani kitakuwa kinawajaza pesa mifukoni,haitafanya hivyo,
Ikiingia Madarakan kwa ridhaa ya wananchi itachofanya ni kusimamia sera zake na kuahid kile kilichokuwa kinasemwa kwa wananchi,
Wao wanadhani kwa kukaa bila kufanya kazi na kushabikia shabikia basi maisha yao yatabadilika once chadema kikichukua inchi,wanashindwa kuelewa maisha ni haya haya,na kila siku watu wanakufa na kuzaliwa,
Tumaini Makene naomba wewe kama msemaji wa chama uchukue jukumu la kuwakemea hawa waganga njaa na wachumia tumbo wanaodhani kukesha kuwalamba lamba miguu viongoz wa juu wa chama basi itawarahishia maisha hapo baadae,
Mfano ni hawa vijana wababishaji na wenye njaa kali kama Yericko & Saa nane,itoke kauli ya uhakika dhidi ya hawa vijana,
Wanajenga taswira mbovu ya chama ili hali hawana influence yyte na by the way hakuna tuh anaewatambua kwa namna yoyote ile,
Wana kua ni taswira ya chama hali ya kuwa wao wana taswira zao binafsi zilizofifia na kukosa matumain,
Waambie wasitegemee kubebewa na taasis,wajenge identity yao,pia waache ufitini na udanganyifu kwa kutumia nembo ya chama,
WANATIA KICHEFU CHEFU
Why are you out of it?
Kabisa,
Na kwa kias kikubwa sana CHADEMA kinapitia wakati mgum sana kwa sasa,asilimia kubwa ya vijana sampuli hiyo wamekimbizia matumain kwa CHADEMA moja kwa moja na kuacha kuhangaika kufanya kazi na kutafuta namna ya kujikwamua na utumwa wa fikra,
Wanadhani kama CHADEMA kikiingia madarakani kitakuwa kinawajaza pesa mifukoni,haitafanya hivyo,
Ikiingia Madarakan kwa ridhaa ya wananchi itachofanya ni kusimamia sera zake na kuahid kile kilichokuwa kinasemwa kwa wananchi,
Wao wanadhani kwa kukaa bila kufanya kazi na kushabikia shabikia basi maisha yao yatabadilika once chadema kikichukua inchi,wanashindwa kuelewa maisha ni haya haya,na kila siku watu wanakufa na kuzaliwa,
Tumaini Makene naomba wewe kama msemaji wa chama uchukue jukumu la kuwakemea hawa waganga njaa na wachumia tumbo wanaodhani kukesha kuwalamba lamba miguu viongoz wa juu wa chama basi itawarahishia maisha hapo baadae,
Mfano ni hawa vijana wababishaji na wenye njaa kali kama Yericko & Saa nane,itoke kauli ya uhakika dhidi ya hawa vijana,
Wanajenga taswira mbovu ya chama ili hali hawana influence yyte na by the way hakuna tuh anaewatambua kwa namna yoyote ile,
Wana kua ni taswira ya chama hali ya kuwa wao wana taswira zao binafsi zilizofifia na kukosa matumain,
Waambie wasitegemee kubebewa na taasis,wajenge identity yao,pia waache ufitini na udanganyifu kwa kutumia nembo ya chama,
WANATIA KICHEFU CHEFU