Zitto Sio wa Muhimu Kiasi Hicho

hamna lolote mmejaa akili na mawazo ya ki-CCM, kila mtu akitofautiana na wapenzi wenu ndani ya chama basi anatumiwa na Magamba.

full upuuzi na uhafidhina...eti Zitto si CDM 100%, nani kati yenu ambaye ni CDM 100%....partizan politics zimewajaa kama CCM na shoga yake CUF...

big up to Zitto...hii nchi inahitaji watu na viongozi ambao ni Watanzania kwa 100% na siyo wapenzi wa vyama kwa 100%. Miaka 50 ya uhuru tumeshuhudia watu waliokuwa CCM 100%(wengi wao wamesoma kivukoni) na hakuna la maana walilotufanyia, sidhani kama tunahitaji tena CDM 100% au CUF 100% nk.
 
Japokuwa wewe ni gamba lakini umekubali kuwa Zitto sio Chadema 100%. Huoni kuwa ni hatari kwa chama kuwa na kiongozi ambaye ni kibaraka
 
kweli zito sio wa maana..huku muda wote mnamjadili yeye tu.lol!
 
Aisee...zito bwana..nae anataka kulipwa fadhila kwa kuwa mwanzilishi wa chadema
 
2ambieni ni nini ukibaraka wake?zitto ni kijana anayejiamini na si shabik km wewe na wenzako.
 
Tatizo la chadema hawajijui rasilimali waliozonazo zikishawatoka ndio watajua makosa waliofanya kama awaliofanya CCM walipomfukuza SeifSheriff Hamad end of the day ndio huyu Hamad aliwatesa CCM hadi wamekaa naye chini kumrudisha madarakani .Kwa upandewa Chadema hawaelewi Waislamu are very suspicious na chama hichi kwa kutokua na many Leaders who are Muslim like CUF is very much dominated by Muslim Leaders.In Tanzania in order to get power or to win teh power you need this to religions to support you CUf is strugling with Chrstians as well Chadema is strugling with Muslim. they need Muslim vote in order to get power in Tanzania
 
Tokea atuzimie kwenye gia ishu ya mikataba ya madini simuamini tena

Na hiyo ndio ilikuwa fursa adimu kwake kuonyesha uzalendo wake. Lakini tangia hapo ni kimya, na hakuna ushauri wa maana uliotolewa na kusimamiwa
 
tatizo la chadema hawajijui rasilimali waliozonazo zikishawatoka ndio watajua makosa waliofanya kama awaliofanya ccm walipomfukuza seifsheriff hamad end of the day ndio huyu hamad aliwatesa ccm hadi wamekaa naye chini kumrudisha madarakani .kwa upandewa chadema hawaelewi waislamu are very suspicious na chama hichi kwa kutokua na many leaders who are muslim like cuf is very much dominated by muslim leaders.in tanzania in order to get power or to win teh power you need this to religions to support you cuf is strugling with chrstians as well chadema is strugling with muslim. They need muslim vote in order to get power in tanzania

tumia akili wewe dini na siasa wapi na wapi,dini zenyewe zimeletwa
 
Nimeona watu wengi wanatumia muda wao mwingi kujadili upuu zi wa Zitto.
Ninaita upu uzi kwa kuwa niliusoma kwenye blog yake na kuutafakari. Kwa upeo wangu naona hana lengo la kugombea Urais, ila ana nia nyingine labda kujiweka juu ya viongozi wote CDM au kuonyesha kuwa yeye ndie kawalea kina Mnyika, Mdee nk na kwamba Dr Slaa hana umuhimu kwake, au pengine lengo lake ni kuonyesha kuwa Januari ni mtu wa muhimu zaidi kwake kuliko wanachama wenzake wa CDM.
Lakini inaleta maana kudhani kuwa lengo lake ni kuivuruga Chadema wakati huu mgumu wa Kampeni Arumeru.
Kuwajulisha tu mnaopoteza muda kwenye hoja za ndugu zitto ni kuwa, huyu Bwana yupo idara ya usalama wa taifa, na alikubali kununuliwa baada ya sakata la buzwagi. Yupo upinzani kama kibaraka wa CCM, anatumika kila inapobidi.
Wanaomjua zitto wanakili kuwa kwa sasa hana unuhimu kwa taifa, na hivyo hana umuhimu kwa Chadema.
Zitto ni mtu anayenunulika kirahisi, anajijua kuwa kwa sasa hakubaliki, na hiyo kutangaza nia kwake ni kwa lengo la kukivuruga CDM.
Ila kama hujanielewa unaweza kwenda Zitto na Demokrasia utasoma alichoandika na pengine kujua nia yake.
uliona mbali saana:plane:
 
Nimeona watu wengi wanatumia muda wao mwingi kujadili upuu zi wa Zitto.
Ninaita upu uzi kwa kuwa niliusoma kwenye blog yake na kuutafakari. Kwa upeo wangu naona hana lengo la kugombea Urais, ila ana nia nyingine labda kujiweka juu ya viongozi wote CDM au kuonyesha kuwa yeye ndie kawalea kina Mnyika, Mdee nk na kwamba Dr Slaa hana umuhimu kwake, au pengine lengo lake ni kuonyesha kuwa Januari ni mtu wa muhimu zaidi kwake kuliko wanachama wenzake wa CDM.
Lakini inaleta maana kudhani kuwa lengo lake ni kuivuruga Chadema wakati huu mgumu wa Kampeni Arumeru.
Kuwajulisha tu mnaopoteza muda kwenye hoja za ndugu zitto ni kuwa, huyu Bwana yupo idara ya usalama wa taifa, na alikubali kununuliwa baada ya sakata la buzwagi. Yupo upinzani kama kibaraka wa CCM, anatumika kila inapobidi.
Wanaomjua zitto wanakili kuwa kwa sasa hana unuhimu kwa taifa, na hivyo hana umuhimu kwa Chadema.
Zitto ni mtu anayenunulika kirahisi, anajijua kuwa kwa sasa hakubaliki, na hiyo kutangaza nia kwake ni kwa lengo la kukivuruga CDM.
Ila kama hujanielewa unaweza kwenda Zitto na Demokrasia utasoma alichoandika na pengine kujua nia yake.


nyie ndwalewale wa kasazini
 
Tatizo la chadema hawajijui rasilimali waliozonazo zikishawatoka ndio watajua makosa waliofanya kama awaliofanya CCM walipomfukuza SeifSheriff Hamad end of the day ndio huyu Hamad aliwatesa CCM hadi wamekaa naye chini kumrudisha madarakani .Kwa upandewa Chadema hawaelewi Waislamu are very suspicious na chama hichi kwa kutokua na many Leaders who are Muslim like CUF is very much dominated by Muslim Leaders.In Tanzania in order to get power or to win teh power you need this to religions to support you CUf is strugling with Chrstians as well Chadema is strugling with Muslim. they need Muslim vote in order to get power in Tanzania

Kaongeze viroba, CDM sio cuf
 
Back
Top Bottom