Bright Smart
JF-Expert Member
- May 4, 2011
- 644
- 311
Je,waliwasiliana na Zitto kupata maoni yake kabla hawajachapisha?Je,jamii imetendewa haki?Je, Zitto ametendewa haki?
Kama hawakufanya hivyo,huo uwezo wa kuandika heading na subheading zenye mwelekeo huo zinatoa taswira gani?Hebu tujaribu kuwa analytical kidogo
Hapo uko sawa kabisa mkuu!!! je kama habari iliyoandikwa ingemuhusu Mbowe wasingewasiliana nae kwanza!!!!??