Wana CCM wawili ambao hawaaminiki chadema ni Zitto na Shibuda. Kauli na vitendo vyao vinaonyesha wanaipenda CCM au wana maslahi CCM au wametumwa na CCM.
Pamoja na matatizo yao yote moja lipo wazi CCM wanataka wawatumie walete migogoro chadema. Njia nzuri ya hekima kupambana nao si kuwafukuza, we cannot afford, maana focus yetu ni kujenga chama, bali tuwapuuze. Wakipuuzwa hawataweza kuleta migogoro bali tukilumbana nao watatusumbua.
Sioni hata sababu ya kumhoji Shibuda. Ni rafiki yangu, namfahamu sana , ni mtu hata ukimweleza vipi haelewi, ni matatizo binafsi zaidi kuliko ya yeye kuipenda CCM. Hata ndani ya CCM alikuwa hivyo hivyo, mara anagombea uenyekiti, mara urais nk. Tusipoteze muda nae, tumpuuze ila tukihangaika nae CCM itamtumia kutuumiza
Pamoja na matatizo yao yote moja lipo wazi CCM wanataka wawatumie walete migogoro chadema. Njia nzuri ya hekima kupambana nao si kuwafukuza, we cannot afford, maana focus yetu ni kujenga chama, bali tuwapuuze. Wakipuuzwa hawataweza kuleta migogoro bali tukilumbana nao watatusumbua.
Sioni hata sababu ya kumhoji Shibuda. Ni rafiki yangu, namfahamu sana , ni mtu hata ukimweleza vipi haelewi, ni matatizo binafsi zaidi kuliko ya yeye kuipenda CCM. Hata ndani ya CCM alikuwa hivyo hivyo, mara anagombea uenyekiti, mara urais nk. Tusipoteze muda nae, tumpuuze ila tukihangaika nae CCM itamtumia kutuumiza