ZITTO, NAPE live on Radio One

Temba ambaye ni mwakilishi wa wananchi amesema imefika wakati mtu apewe kazi kama anaweza na sio kwa kufuata misingi ya chama tawala ametoa mfano Lipumba ni mtaalamu wa uchumi kwa nini Rais asimteue kuwa mbunge na ampe wizara ya Fedha? Nape anajibu hoja hiyo kwa kulinganisha muungano wa CCM na CUF zanzibar kuunda serikali moja.
 
unajua kuwa tunakutegemea wewe kutupa updates? acha porojo kwanza tuhabarishe ili tukupe thanx mwisho wa siku

Sawa mkuu mwisho Nape amesema anaunga mkono Hoja ya uwajibikaji. Ni zamu ya zitto naye anampongeza Nape kwa kuunga mkono hoja hiyo. Na mwisho amesema ama Rais atawawajibisha mawaziri au Spika ataitisha bunge la dharula.
 
Kuhusu kauli ya Lipumba juu ya vyama vyote vya upinzani kuitisha maandamano Zitto ameunga mkono pamoja na kusema Tanzania kwanza Chadema baadaye kama ilivyo katika katiba yao. Mjadala umeisha wakuu asanteni kwa kufuatilia hii thread.
 
Kuhusu kauli ya Lipumba juu ya vyama vyote vya upinzani kuitisha maandamano Zitto ameunga mkono pamoja na kusema Tanzania kwanza Chadema baadaye kama ilivyo katika katiba yao. Mjadala umeisha wakuu asanteni kwa kufuatilia hii thread.

Asante sana Mu sir. Nimefarijika kufuatilia mjadala kupitia wewe. Ubarikiwe kuliko wanaume/wanawake wote. Wewe ni Great thinker wa ukweli.
 
Hii ni irrelevant point kutoka kwa Zitto!
Hizi slogan za taifa kwanza chama baadae huwa zinatoka kwa ccm!
Zitto anatumia slogan hiyo visivyo unless anataka self glory!
CHADEMA stands firmly against grand corruption, misallocation of funds and calls for accountability!

Kusema mawaziri walioshindwa kazi na wanaoonyesha ulaji na upotevu wa fedha wawajibike ni issue ambayo ipo ndani ya mambo wanayoamini.
Zitto: Tanzania kwanza CHADEMA baadae
 
Kwa mara ya kwanza leo Nape kaongea kwa vitu vya maana, kazungumzia kuhusu kubadili mfumo wa uongozi la sivyo kila siku tutafukuza mawaziri. Mfumo umewapa nguvu makatibu wa wizara nguvu kuliko hata waziri husika.
 
Kuhusu kauli ya Lipumba juu ya vyama vyote vya upinzani kuitisha maandamano Zitto ameunga mkono pamoja na kusema Tanzania kwanza Chadema baadaye kama ilivyo katika katiba yao. Mjadala umeisha wakuu asanteni kwa kufuatilia hii thread.

na wewe asante kwa kutujuza
 
kuwapambanisha Zitto na Nape ni sawa na kupambanisha Real Madrid na Tukuyu ya mbeya sijui utakuwa unataraji matokeo gani?
 
Hii ni irrelevant point kutoka kwa Zitto!
Hizi slogan za taifa kwanza chama baadae huwa zinatoka kwa ccm!
Zitto anatumia slogan hiyo visivyo unless anataka self glory!
CHADEMA stands firmly against grand corruption, misallocation of funds and calls for accountability!

Kusema mawaziri walioshindwa kazi na wanaoonyesha ulaji na upotevu wa fedha wawajibike ni issue ambayo ipo ndani ya mambo wanayoamini.

mkuu hii kauli ameitolea reference mbili moja akitumia katiba ya Chama na Pili kauli ya Mwakyembe ya Taifa kwanza Ccm baadaye.
 
Back
Top Bottom