Na sifa lukuki juu yakeUnawaita ili waje kufanya nini,unataka waje waseme Ukweli ili waishie kupewa kesi ya uchochezi? Au hujuwi kuwa zile faini za sh.milioni 7 ni sehemu ya zile takwimu tunazopewa kila mwisho wa mwezi tukiambiwa kuwa mapato yameongezeka?
Ahahaha,msamvu Sehemu gani?kwenye roundabout?Mkuu huyo Dotto Rangimoto kesha ishiwa na mipango kwa sasa yupo msamvu anauza mifuko ya khaki
Kwa ulichoàndika hapa kinabebwa na hasira za kutofanikiwa kwa ukuta, uliovunjwabnan vyombo vya ulinzi na usalama.Mkuu hii si hoja kwa sasa,hoja iliyoko mezani ni mtakatifu yohana paulo III kufundishwa uongozi na jirani zetu Wakenya.Inastaajabisha na kufedhehesha sana pale uonapo jirani yako analia zaidi katika msiba wako kuliko uliavyo wewe mfiwa.Wakenya wametuma jeshi lao (KDF) likiwa limesheheni misada ya kiutu kuja kuwasaidia wana Kagera.
Wakati Wakenya wakionesha kuguswa na msiba wa jirani,sisi wafiwa tunaukimbia msiba kwa kusingizia kuwa msiba huo ni mipango ya Mungu,kwamba haujaletwa na serikali!!Badala ya kuvitumia vikosi vyetu katika uokozi na ujenzi wa kambi za dharura kuhudumia wahanga,sisi tunavitumia vikosi vyetu kubariki uvunjaji wa katiba kwa kuwanyima wananchi haki ya kukusanyika na kutoa maoni yao.
Vikosi vyetu vilionesha uhodari wa kuvamia barabarani na kufanya mazoezi,lakini kamwe haviwezi kujitoa kwa ajili ya kuokoa ndugu zetu waliopatwa na maafa.Mambo haya ya ajabu ya kutoonesha kuwajari wananchi ndiyo hupelekea watu kudai Uhuru wa kujitenga.Maana wanaona kama wanajilazimisha kujiita Watanzania wakati "mwenye Tanzania yake" hawatambui.Hii ni hatari kwa umoja wa Taifa letu.[HASHTAG]#HapaKaziTu[/HASHTAG].
Bandiko la ovyo kuwahi kutokea jf.Mimi nikiwa mwana Kigoma namshauri zzk amuombe Muha mwenzetu Diamond amfanyie promo ili arudi kwenye umaarufu alio kuwa nao hapo kabla maana sasa kina mcubic na MOTOCHINI wamempotezea mbali OMWAMI RUYAGWA
Nani KIONGOZI MKUU,NURU YA ACT?Kwa ulichoàndika hapa kinabebwa na hasira za kutofanikiwa kwa ukuta, uliovunjwabnan vyombo vya ulinzi na usalama.
Ndio hasira zote umeelekeza kwenye serikali kwani Wazili mkuu Sio kiongozi Wa serikali juhudi zote zinazofanyika huzioni mpaka sense raisi ndio ulizike Raisi hajaenda na mambo yanaendelea vizuri.
Nakushauri jiandae kwa ukuta mwezi wa kumi aliotangaza kiongozi wa kudumu.
Kwa ulichoàndika hapa kinabebwa na hasira za kutofanikiwa kwa ukuta, uliovunjwabnan vyombo vya ulinzi na usalama.
Ndio hasira zote umeelekeza kwenye serikali kwani Wazili mkuu Sio kiongozi Wa serikali juhudi zote zinazofanyika huzioni mpaka sense raisi ndio ulizike Raisi hajaenda na mambo yanaendelea vizuri.
Nakushauri jiandae kwa ukuta mwezi wa kumi aliotangaza kiongozi wa kudumu.
Kuendelea kuchangia kwenye bandiko la ovyo ni kulitengeneza liwe kinyume chake.Najua kabisa wewe huwezi kulifurahia maana linamgusa mwandiga mwenzako
Vijana wa mwandiga naona huu uzi umewachomaKuendelea kuchangia kwenye bandiko la ovyo ni kulitengeneza liwe kinyume chake.
Badala ya kujadili vitu vya maana vyenye tija kwa taifa wewe unajadili watu,
Kama jinsia yako ni ya kike ungesutwa.
Kwaheri.
LekadutigiteAliyetua thread hii hajawa timam....inawezekanaje mbuzi kumfunza ulinnzi mbwa.Kumbuka diamond ni msanii na ZZK ni mwanasiasa,sasa promo gani ampe au promo za kujiunga na WCB....Think twice before you click a send button ..*****