mjengwa-halifa
Member
- Oct 26, 2010
- 26
- 14
Wizara hazina huwajibikaji kabisa. Waziri anamiliki Tanpower Resources halafu anawaambia Stamico wasilipe deni hili kampuni yake iweze kuchukua tenda. Huyu aende na maji tu.
Ufafanuzi:
Anayetajwa hapa si Waziri wa sasa ni Daniel Yona, alipokua Waziri wa Nishati na Madini, na alikua yeye na familia yake wakimiliki kampuni ya Tanpower Resources Ltd, akiwa na ubia na Benjamin Mkapa na familia yake. Kampuni iliyopewa umiliki wa Kiwira Coal Limited. Mpaka baadae ameifilisi kampuni yake ya Anbem Ltd, akimwacha mwanae hadi sasa katika umiliki wa kampuni hizo.
Mawaziri wa sasa wanazuga kuwa hawajui.
Ufafanuzi:
Anayetajwa hapa si Waziri wa sasa ni Daniel Yona, alipokua Waziri wa Nishati na Madini, na alikua yeye na familia yake wakimiliki kampuni ya Tanpower Resources Ltd, akiwa na ubia na Benjamin Mkapa na familia yake. Kampuni iliyopewa umiliki wa Kiwira Coal Limited. Mpaka baadae ameifilisi kampuni yake ya Anbem Ltd, akimwacha mwanae hadi sasa katika umiliki wa kampuni hizo.
Mawaziri wa sasa wanazuga kuwa hawajui.