Katika mikakati inayopangwa chini chini ndani ya Chadema kama serikali haitaifumua basi 2015 utakuwa mwisho wa CCM na serikali yake yani CCM itapoteza yote urais wa Tanzania na Urais wa Tanganyika na kubakiwa na Urais wa zanzibar Pekee.
Serikali zuieni mipango hii ya Chadema la sivyo hakuna tena CCM mwaka 2015.
Serikali zuieni mipango hii ya Chadema la sivyo hakuna tena CCM mwaka 2015.