Ketoka
JF-Expert Member
- Sep 23, 2015
- 1,094
- 1,931
Kuna haja kwa kipindi hiki kuangalia katiba zetu upya
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hairuhusu Rais aliyopo madarakani au kustaafu kushtakiwa kwa kosa lolote lile
Je siku akitokea Mzanzibar akawa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kwa makusudi ya kulindwa kisheria na kikatiba akawa anatapanya rasilimali za Tanganyika kwa maslahi yake au kwa maslahi ya kikundi fulani kilichopo Zanzibar jiulize nani wa kutetea au kuzilinda mali za Tanganyika?
Zanzibar wana serikali yao inayolinda mali na rasilimali za Zanzibar je Mali za Tanganyika zinalindwa na nani?
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hairuhusu Rais aliyopo madarakani au kustaafu kushtakiwa kwa kosa lolote lile
Je siku akitokea Mzanzibar akawa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kwa makusudi ya kulindwa kisheria na kikatiba akawa anatapanya rasilimali za Tanganyika kwa maslahi yake au kwa maslahi ya kikundi fulani kilichopo Zanzibar jiulize nani wa kutetea au kuzilinda mali za Tanganyika?
Zanzibar wana serikali yao inayolinda mali na rasilimali za Zanzibar je Mali za Tanganyika zinalindwa na nani?