johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,977
- 141,988
Akizungumza kwenye kumbukizi la Mwalimu Nyerere KC wa ACT wazalendo Zitto Kabwe amesema Tanzania ina Mijadala duni sana ndio sababu tumekwama kwenye kila jambo na kubaki tunazunguka pale pale.
Zitto amesema wapo vijana wachache sana wenye uwezo wa kuchambua na kujenga hoja ambao siyo Chawa hivyo amewaomba vijana hao waendeleze mijadala hata kama wana mawazo tofauti.
Source: ITV
Zitto amesema wapo vijana wachache sana wenye uwezo wa kuchambua na kujenga hoja ambao siyo Chawa hivyo amewaomba vijana hao waendeleze mijadala hata kama wana mawazo tofauti.
Source: ITV