Zitto Kabwe: Nani anaongoza nchi yetu?

Watanzania tuwaamini viongozi wetu,

Mh. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kauli ya kinywa chake alinena na watanzania,

Pili Makamu wa Rais kwa kauli thabiti ya kinywa chake naye alinena, Sasa sioni wapi Tatizo lilipo, Cha msingi kama ambavyo Mh.Zitto umekuwa mstari wa mbele kuguswa na ni haki yako na ni sahihi kuhoji yote hayo ikiwa ndivyo ilivyo katika kuongozwa na nia iliyo njema,

uzalendo huo tuuelekeze katika kumuunga mkono Rais wetu na viongozi wote kwa ujumla katika kuliombea Taifa letu, Zaidi ya yote tupate kuvuka Salama katika hichi kipindi Cha Covid19.

Lakini pia Watanzania tujenge utamaduni wa kuwaza jema kwanza kabla ya baya kwa Kiongozi wetu, Kwani nani asiyejua kuwa Rais wetu ni muumini kama wananchi Wengine anaweza pia kujifungia katika wakati huu wa Mfungo kwa ajiri ya kuliombea Taifa letu,Je, ikiwa hivo kuna tatizo? Na kama hivyo, ni kipengele kipi cha katiba atakuwa amevunja kwa kutoonekana mbele umma wa Watanzania kwa muda huo?

Ni Mawazo tu.

Ila Kama kuna Mwanasheria au anayeijua katiba vizuri atusaidie ibara hiyo ambayo imebainisha muda max.ambao Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anaruhusiwa kutoonekana Public.
 
Zamani wakati anazindua live, anateua live, anatumbua live, anahutubia live, alikuwa Doll la hayo maonyesho? Kwani ugumu wa yeye kujitokeza hadharani kuwasalimia wafuasi wake na kuwaziba midomo wapinzani wake, uko wapi?
Ni kuzoezwa tu, sawa na mazoea ya hotuba za kila mwisho wa mwezi, mbona hatunazo sasa hivi na tumezoea?
 
Wanaongoza wenye nchi, tambua kuna WENYE NCHI NA WANAICHI. Kama unabisha kamuulize Ruto atakwambia huko Zenji na Kenya kukoje
 
".....huko alipo" ina maana hajulikani alipo sio? Mkuu mbona wananchi tumezoea siku zote kujua kama mhe rais yupo dodoma ama dar ama chato lakini safari haijulkan ndo maana unaona kelele zimeibuka.
We relax, Rais wetu mpendwa anamalizia mfungo wa quaresma! Yupo 'mlimani' kama unajua maana ya hizo jagons!
 
Upumbafu ulionao, hata ukipigwa nyundo ya kuvunjia mawe kwenye fuvu lako hauwezi kukutoka!
Eh Mungu Mwenyezi, tunaomba uzidi, kumlinda, kumtunza na kumbariki rais wetu mpendwa Mh Dr JPM na serikali zetu zote! Mungu. Mungu tunaomba uzidi kuilinda nchi yetu Tanzania!
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Katiba imefanyaje. Unaijua ratiba ya Rais. Amekwambia anaumwa. Je mliposema kaenda Ujerumani na wakati yupo Dar hiyo katiba ilikuwa inasemaje. Mmepoteza credibility kwa kuwa hamna nia njema. So msianze kusingizia katiba. Nani kawaambia Rais hafanyi kazi zake. Zitto umeandika ujinga kabisa.
Aya boss kubwa
 
Una hasira sana na umepanic vibaya mno! Utakufa kabla ya muda nyau we!

Yani unataka kila nyie wahuni mkihoji rais yuko wapi aje kuwajibu nipo? Pumbavuuu...

Nkishakwambia hata mhuni mwennzenu amterdam alimwandikia vibarua vingi sana lakini hakuna hata mwenyekiti wa kijiji akijitokeza kujibu! Sembuse nyie wahuni tunawajua kabisa?
Idegenda poleni sana hamuwezi kukataa mambo ya wazee wenu!!! Anza benda chato kwa maziko!

Najua nauri huna nenda pale Nbc makao makuu tamka jina langu upewe hela!! Uwahi mazishi jikaze mkuu ndo Dunia.
 
Nyie wapinzani wapumbavu sana hasa Lissu

Juzi mmesema Rais amelazwa nchini Kenya, mara amepelewa India ,mara amekufa.Pumbafu kabisa.

Leo mmekuja na ngojera Nyengine mara Yuko paralysed one side .Pumbafu sana nyie.hamna akili kabisa.we watch you .nchi Nyengine watu kama nyie mnafuatwa Huko mliko.
Unamjua Zitto vizuri?
 
Back
Top Bottom