Zitto Kabwe kukutana na Waandishi wa Habari tarehe 24 Novemba 2013

Status
Not open for further replies.
Wamuwekee ulinzi wa kutosha.
Maana huyo lema mie simwamini kabisaaaa....asije akamwagia tindikali rais wetu mtalajiwa.
 
Naona watu wametengeneza mpaka email fake,Zitto pole sana,lakini naamini utatoka tu
 
Aeleze tokea 2010 kwa nafasi yake ya unaibu katibu mkuu amekifanyia nini chadema kitaifa. Asieleze ya PAC,BINAFSI wala ulezi wa KANDA.

aeleze ametumia vipi ofisi yake na vikao ktk kusimamia na utekelezaji wa shughuli za chama

Akiri makosa yake kuanzia usaliti wa uchaguzi 2010,PM7,CHAUMA,ya madiwani Arusha na waraka wa MM

Asitafute huruma kama alivyolia kwenye kikao cha wabunge wa chama kule Morogoro na alivyotisha watu uchawi na kwamba anaonewa na viongozi wenzake alipopambana na Ben saanane hapa JF
Si alikusanya sahihi nyiiiiiiingi bungeni za kumngóa mtotot wa mkulima kwenye uwaziri mkuu?au mmesahau?
 
Zitto akiondoka CDM itazidi kupaa yeye ndio anaetengeneza majungu na kukiuza chama kwa maslahi yake binafsi,Mbowe na Slaa majembe sisi kama CDM tunawakubali waendelee kuongoza maana wanawatikisa sana magamba! Dr slaa na mbowe are priceless,CDM is so pricele$$ ,ZZK whether we ridin' or we pass flyin' we say FV)k U.
 
[h=5]Zitto Kabwe

[/h]Mkutano na waandishi wa habari: Mhe Zitto Kabwe na Dk Kitila Mkumbo

Taarifa inatolewa kuwa Mheshimiwa Zitto Kabwe pamoja na Dk Kitila Mkumbo watakutana na wahariri na waandishi wa habari kesho siku ya Jumapili tarehe 24 Novemba 2013. Watatumia nafasi hii kutoa maoni na msimamo wao kuhusu maamuzi ya Kamati Kuu ya CHADEMA ya hivi karibuni.
Mkutano huu na waandishi wa habari utafanyika katika Hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam kuanzia saa5.00 asubuhi.

Imetolewa na ofisi ya Mbunge Zitto Kabwe, Dar es Salaam.
Jumamosi, 23 Novemba 2013.
Dar es Salaam.


Ofisi ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini ipo Dar. Aisee
 
Dear Dr. Mkumbo,
I respect you Sir.
My advice to you at this moment is ask you to be wise and don't rush into reactions. We may not know the whole truth but I believe deep within your heart you know what is really going on.

I know you have scheduled to have a meeting with journalists tomorrow but my doubt is whether you had enough time to think through thoroughly. Otherwise you may end up being crushed in dirty games of politics or being used!

Sir, I'm not trying to judge, but to be frank I'm smelling a rat in this issue. Please take you time and think twice before being pushed by emotions or people.

God knows what really happened and your conscience knows as well. Sir, I dont think you are making a right move!

Everyone makes mistakes but its only the true leader who can apologize. Arrogant people will do whatever it takes to protect their image. Sir, this is my humble advice to you on behalf of all who trully love you.

May God give you wisdom.
 
Nikiwa kama mmoja wa wanasiasa wanaochipukia kutoka KASULU (KIGOMA) sishangazwi na yaliyomkuta ZITTO KABWE,Hiyo ndiyo historia ya wanasiasa wa kigoma wakishapata umaarufu tu wanajiona wao ni maarufu zaidi ya chama na kuanza kulewa sifa za kijinga. Alianza WARID KABURU alizicheza vyema siasa za upinzani akavimba kichwa na sasa alishakufa kisiasa.
Akaja DANIEL NSANZUGWANKO kupitia NCCR-MAGEUZI mwaka 2000, alitikisa sana na akapata umaarufu mkubwa hapa KASULU akaishia kutusaliti wapiga kura wake lakini laana ya usaliti inamtafuna hadi leo.
NA LEO HII NI ZITTO KABWE,,JE KUNA CHA AJABU HAPA????Wanaomlilia ni watu wanaonufaika naye tu either kisiasa n.k ila kiukweli ZITTO alikuwa ameshakuwa mzigo kwa chama,,bora avuliwe na uanachama akafie mbali tu,, huo ndiyo unafiki wa wanasiasa wa mkoa wetu wakishapata umaarufu.

Sikubaliani na hoja yako Mkuu, Sheikh Amri Abeid Kaluta, na Saadan Kandoro nao walikuwa hivyo? Kama unawaza hivyo kwa nini usiingalie CCM kwa kui-underdevelop Kigoma na ' kuwanunua' na kuwahonga wanasiasa wa upinzani kutoka Kigoma. Dk. Kaburu alihongwa Ubunge wa EAC, sasa ni Mwenyekiti wa Mkoa wa CCM, Nsanzugwanko alihongwa Uwaziri baada ya kutoka NCCR, sijui kama Zitto kama akienda CCM watamhonga cheo gani.

Ni vizuri pia tukumbuke kuwa Kigoma ndio Mkoa pekee wanapotoka wana siasa wa upinzani wa ukweli, na ndio mkoa pekee ambao upunzani una viti vingi vya ubunge kuliko CCM.
 
asikose kuongelea na hili
Kwa maoni yangu hivi hiyo paragraph ya kwanza katika e-mail hii yenye maelezo kuhusu hao vijana wanaopongezwa kwa kazi nzuri halafu na hilo li Tume la Warioba kusitishwa.......???
===>Does it mean hao vijana likely ndio waliotumwa na hao wana-mtandao kwenda KUMUUA Dr.MVUNGI ili wapate Katiba wanayoitaka CCM,kwa kumuona yeye(Dr Mvungi) kama kikwazo kikubwa katika kusudio lao.....???

Pili;..Huyo ZZK na Dr.KM watajaribu ku-defend USALITI WAO,kwa kujiona walichokuwa wanafanya kilikuwa kwa manufaa ya Chama na wanachama kwa ujumla na kwamba wasingestahili adhabu waliyopewa na hivyo kutaka huruma ya wanainchi.

.....Vile vile wanaweza kujitoa wenyewe rasmi ndani ya Chama baada ya kuona hawana jinsi tena ya kutekeleza mipango yao waliyokuwa wameikusudia.

Nawasilisha
 
Japo inaonekana ni mapema mno kwao kuitisha mkutano wa waandishi wa habari lakini inawezekana kabisa kesho Zitto na Dr. Kitilla watawawahi Chadema kwa kutangaza kujitoa Chadema kabla ya zile siku 14 walizopewa.
 
jitekenye tu ndugu,Kesho utaelewa tu,wewe na Mtei wako

Wewe ulishaamua kuwa future ya zitto kisiasa ndo iwe ya kwako pia. Naona sasa future ya zitto kisiasa imeanza kulegalega na yako pia inalegalega. Hayo ndio madhara ya kuwa mfuasi wa mtu. Tangu uliporuhusu Zitto akushikie akili zako basi uwezo wako wa akili unazidi kuporomoka kadri siku zinavyoenda mbele.
 
[h=5]Zitto Kabwe

[/h]Mkutano na waandishi wa habari: Mhe Zitto Kabwe na Dk Kitila Mkumbo

Taarifa inatolewa kuwa Mheshimiwa Zitto Kabwe pamoja na Dk Kitila Mkumbo watakutana na wahariri na waandishi wa habari kesho siku ya Jumapili tarehe 24 Novemba 2013. Watatumia nafasi hii kutoa maoni na msimamo wao kuhusu maamuzi ya Kamati Kuu ya CHADEMA ya hivi karibuni.
Mkutano huu na waandishi wa habari utafanyika katika Hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam kuanzia saa5.00 asubuhi.

Imetolewa na ofisi ya Mbunge Zitto Kabwe, Dar es Salaam.
Jumamosi, 23 Novemba 2013.
Dar es Salaam.

Mkaribisheni Walid Kaburu na Nswanzygwanko
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom