kweli nimeamini zito alikuwa pro ccm
pedezhee zitto kushney
Dr. Slaa kala pesa za chama, lakini hajaulizwa chochote kwa sababu ni mtiifu kwa Mtei.
Habari kamili kesho Serena Hotel...
Kweli humu kunamambulula unategemea mawasiliano nyeti namnahiyo yatafanyika hivyo acheni kutufanya wajinga watanzania. Huo upumbavu wa namnahiyo wanaweza kuamini watu wachache kama machadema matusi tu vitu hivyo watu wanazungumza Ana Kwa Ana. Hujui kwamba kunaudukuzi wa NASA sikuhizi
acha mboga imwagwe.[h=5]zitto kabwe
[/h]mkutano na waandishi wa habari: Mhe zitto kabwe na dk kitila mkumbo
taarifa inatolewa kuwa mheshimiwa zitto kabwe pamoja na dk kitila mkumbo watakutana na wahariri na waandishi wa habari kesho siku ya jumapili tarehe 24 novemba 2013. Watatumia nafasi hii kutoa maoni na msimamo wao kuhusu maamuzi ya kamati kuu ya chadema ya hivi karibuni.
Mkutano huu na waandishi wa habari utafanyika katika hoteli ya serena jijini dar es salaam kuanzia saa5.00 asubuhi.
Imetolewa na ofisi ya mbunge zitto kabwe, dar es salaam.
Jumamosi, 23 novemba 2013.
Dar es salaam.
Duh hapa upo msalani lazima inzi hawakosiTunakusubiri kwa hamu ndugu Zitto, UMMA wa watanzania uko na wewe.
Soon Katila Mkumbo akiendelea kufatana na Zitto, atakuwa kama Kapuya
Tena kama kuna muda walipaswa kuwa watulivu ni sasa!!!Kwa Kidogo wanachoweza kujisahihisha nacho ni ni sasa TO CALM DOWN and let the wind flow in a natural way!!!.Dear Dr. Mkumbo,
I respect you Sir.
My advice to you at this moment is ask you to be wise and don't rush into reactions. We may not know the whole truth but I believe deep within your heart you know what is really going on.
I know you have scheduled to have a meeting with journalists tomorrow but my doubt is whether you had enough time to think through thoroughly. Otherwise you may end up being crushed in dirty games of politics or being used!
Sir, I'm not trying to judge, but to be frank I'm smelling a rat in this issue. Please take you time and think twice before being pushed by emotions or people.
God knows what really happened and your conscience knows as well. Sir, I dont think you are making a right move!
Everyone makes mistakes but its only the true leader who can apologize. Arrogant people will do whatever it takes to protect their image. Sir, this is my humble advice to you on behalf of all who trully love you.
May God give you wisdom.
Ungekuwa wewe usingechagua vyombo/waandishi wa habari na watu wa kuwaalika?Nitaende kusikiliza unafiki wake