Mess
JF-Expert Member
- Mar 2, 2009
- 661
- 181
sisi wana wa kigoma tunachagua mtu mwenye uwezo na sio kwa sababu ati zitto kasema.....................umeona jimboni kwake walivyoshikana mashati na yule jamaa wa ccm.....na kama si kuchakachua basi alley wa chadema angeshinda kigoma mjini.
Sasa kaka una hakika Slaa hana uwezo? japo waamuzi ni ninyi lakini pia tunaweza kupima maamuzi yenu na vigezo kama ni scientific au vipi? Zitto alishachakachuliwa belive it or not.