Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,697
- 8,843
Clouds ni radio ipi?
wafu fm
Clouds ni radio ipi?
Very gud. Na jana masanja wa komedi alihamasisha uchangiaji wa fedha ili sajuki akatibiwe india. Alifanya kupitia komedi yao ya TBC.
japo sina mzuka kabisa na muvi za kibongo, lakini angalau nilikuwa natambuwa uwepo wa Stephen Kanumba.
huyu Sajuki ni nani?
maana sasa imekuwa ishu, si FB, si Twitter and now JF.
Sajuki! Sajuki!
Yeye ni nani? na kwa nini anatambulishwa kwa jina moja?
VENGU alihudumiwa na ikulihivi vengu/wengu alivyo umwa walifanya hivyohivyo?
Yeah ila Mdee kafunika ile mbaya si unajua sauti yake ilivyo nzuri?
waheshimiwa wabunge wametoa track inayoenda kwa jina la "nimepoteza mboni yangu" kwa ajili ya kuhamasisha kumchangia pesa za matibabu msanii sajuki tune clouds usikilize sauti ya halima mdee.
Unaweza kuchangia kwa kutuma pesa kwenye account number 050000003047 akiba bank jina la mwenye account ni wastara juma jina mke wa sajuki au tuma pesa kupitia mpesa number 0762189592.
wimbo huu ni maalum kwa ndugu yetu msanii sajuki ambae anahitaji mchango wako wako wa hali na mali kuokoa maisha yake.kabla sikupenda kuweka picha yake hapa katika hali aliyonayo sasa ila imebidi ili upate picha kamili.sajuki anasumbuliwa na uvimbe tumboni na mwezi huu anahitajika kusafiri kwenda nchini india kwa matibabu.wimbo tuliokuwa tunaurekodi unatoka katika filamu aliyowahi kuifanya na mkwewe ya mboni yangu.na wimbo huu upo ndani ya filamu hiyo aliuimba wastara.wimbo huu tumeurekodi kuhamasishana kuchangia na utaanza kusikika kesho hapa clouds fm na video ya tukio zima la kurekodi itaonekana clouds tv.na kesho tutahakikisha tunakusanya angalau tsh ml 12,000,000 hapa clouds fm.nakuomba sana mtanzania mwenzangu tushirikiane katika hili.
baadhi ya wasanii na waheshimiwa walioshiriki katika "nimepoteza mboni yangu" ni pamoja na wastara mwenyewe na vick kamata, amini, barnaba, peter msechu, madee, rachel, wema sepetu, mzee yusuph, pro jay, afande sele , fid q, chid benz, linex, queen darlin, shilole, ali kiba, william mtitu, ester bulaya, mwanafa, halima mdee, january makamba ,zitto kabwe na khadija.
Tahadhari.
Jihadhari na matapeli....unapotuma mpesa ili kutoa mchango wako wa sajuki hakikisha jina utakaloliona ni la mke wake ambae ni wastara juma.
Kuna mtandao fulani aliokuwa anautumia mwanzo watu walihamisha salio kwa kuiswap namba yake siutaji huo mtandao ila nadhani mmeshauelewa.
Clouds ni radio ipi?
hivi vengu/wengu alivyo umwa walifanya hivyohivyo?
waislam bana hayaa
mohamed sajuki
mohamde shoshi
zuberi kwabwe
halima mdee
wastara jumaaaaaa
sasa kina frank,john nao inabidi wamchangie kanumba steven au yule wa zekomed