Hakuna upinzani hapo.Njaa zitaiua ACT. Hivi vyama vinavyoanzishwa na CCM kila kukicha kwa madhumuni ya kugangia njaa vinarudisha nyuma maendeleo ya demokrasia katika nchi yetu.
Njaa imeingia mjini. TerribleNjaa zitaiua ACT. Hivi vyama vinavyoanzishwa na CCM kila kukicha kwa madhumuni ya kugangia njaa vinarudisha nyuma maendeleo ya demokrasia katika nchi yetu.
MILIONI 7 KWA MWEZI KAMA BASIC SALARY.Daaah
Yule mama anafany kazi gani?
Analipwa kiasi gani?
Yaani aache 3mil hivi hivi?
Yay ndio mshahara wa mkuu wa mkoa ambaye kazi yake kuu kwa wananchi ni kuwafanyia figusu figisu katika harakati zao mbalimbali?ama kweli tunaliwa huku na kule ,kwa utendaji wa wakuu wa mikoa ningependekeza wapate hizo fringe benefit zote lakinu wachukue not more than a milion as a salaryMILIONI 7 KWA MWEZI KAMA BASIC SALARY.
Hata Mbowe angeupokea kwa mikono miwili yesu na maria!!Hata Lisu akiteuliwa hatakataa.
Usiwaamini wanasiasaKwa hiyo zito hakua na taarifa yeyote?Halafu raisi wetu mpendwa akiwa unguja aliwahi kusema kamwe hatachagua upinzani nini kimempata?
Kwa ni mh rais amefanya u-turn na kuanza kushirikiana na chama cha Zito?Ngoja tuone sera za Act + ccm zikileta Viwanda!