Khaa!! Taratibu mtaanza kubeba cost za ulevi wenu wenye plan za kitoto
Sasa unabisha nini wewe? huyu ni mbunge wa mahakama kwani wao Chadema hawamtaki.... kama unamtaka mchukueni
Khaa!! Taratibu mtaanza kubeba cost za ulevi wenu wenye plan za kitoto
mnajitahidi sana kumpaisha lakini wapi!
Khaa!! Nimekaa na kupiga domo na Slaa, Mbowe, Sugu, Lissu,Lema na viongozi wengi wa CDM. Lakini katika wote hao hakuna mwenye vission kama ZZK. Huyu jamaa amebarikiwa. Nadhani hii ndiyo ya sababu ya CEO kuogopa kustaaf mapema. Labda nikwambie nothing can stpp ZZK as long as he live. Na soon mtaiona hii. Bora mkomae hukohuko kwa mliowakataa mwanzo waendelee kuwabeba kwa pumzi zao kwani nyie mkisimama wenyewe tu ndiyo mwisho wa kampunimnajitahidi sana kumpaisha lakini wapi!
Kuna nini cha ajabu? Kuna watanzania elfu ngapi wanafanya kazi za kimataifa? Nafasi kama hiyo siyo za kujisifia maana mara nyingi hutolewa kwa nchi. Kilichompa nafasi hiyo Zito ni nafasi yake ya umwenyekiti wa PAC na siyo uzito wa CV yake. Wanaotaka kuwaaminisha watu kuwa nafasi hiyo ni kitu cha pekee, ni mbumbu. Hawa ni sawa na wale wanaoweza kumpongeza Rais kuwa mwenyekiti wa AU wakati nafasi hiyo ni ya mzunguko na hutolewa kutokana na nafasi yako ya urais na siyo kutokana na uwezo binafsi.
Siyo hao tu mkuu, nadhani hata kinana, mangula, nape na kikwete hawatapata bahati hiyo mpaka wanaingia kaburini.kati ya wewe na Zitto nani kanyea kambi??we unafikiri kua katibu wa AFROPAC ni swala la kitoto??jamaa yako mbowe na slaa hawatapata bahati hiyo mpaka wanaingia kaburini!
Ilikuwa ni zamu ya Tanzania!!! Hata hivyo hakukuwa na mwingine mwenye sifa stahiki, Zitto amekumbana na bahati plus ushawishi wa Wajerumani waliomuandaa kwenye mipango yao hapa Africa... I wish angekuwa na chembe ya uzalendo maana jamaa anakipaji lakini tatizo lake kubwa kama ilivyo kwa wasomi wengi wa Kiafrica ni tama ya madaraka na mapande ya fedha zilizowajaa... Chenge, Rostam, Prof Muhongo et al wanaonekana wa hivyo kutokana na kutumiwa na mataifa ya ulaya kutafuna nchi yetu ... "UZALENDO" Unakosekana kwa ZITO et al..
Muda mfupi uliopita Mbunge kutoka Chadema Zitto Zuberi Kabwe emetoa taarifa ya kupata nafasi ya kuwa katibu mkuu kamati za mahesabu ya serikali kwa nchi kusini mwa Africa.
Ni jambo zuri na sifa kwa nchi yetu na chama chake cha Chadema.
Kama wewe wa karibu hauni, wenye akili waliombali wamemuona!,.. ZITTO ni mgodi wa dhahabu unaotembea!
Well, huwezi kuwa mwanasiasa wa nchi zaidi ya moja ukawa wa chini..ila kuwa juu si kiwango ila njia za kukufikisha si makini.Ukweli utabakia kama ulivyo zitto ni mwanasiasa mwenye leval ya juu hapa africa