Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,654
[HASHTAG]#mkuu[/HASHTAG].aliyepungukiwa.na.akili.huwaoneawatu.sana#
Kudadeki naona umeshikwa sehemu inayo umaChuki binafsi ujinga tu, si uhonge na ww kwani ya kwako haisimami ? Kama haisimami basi wape wazee wa nyuma wapige
MhhhhTaarifa kutoka ACT Wazalendo zinaeleza kuwa Polisi (wenye silaha) wamelizingira jengo la bunge mjini Dodoma, kwa lengo la kumkamata Kiongozi Wa chama hicho ambaye pia ni Mbunge Wa Kigoma mjini Mhe.Zitto Kabwe.
Kufuatia hali hiyo Zitto amekataa kutoka ndani ya ukumbi wa bunge. Hivyo bado yupo ndani na Polisi wamezingira maeneo mbalimbali nje ya Bunge wakimsubiri atoke ili waweze kumkamata..
Mungu sio kipofu kusema haoni yanayotendeka.Mungu Utusaidie, Mungu Utuhurumie ! Twahitaji Amani.
Mbinguni ipi hio wanayoiamin wataendan kwa haya wanayoyafanya ?? labda wana yao wameitengenezaWanadai wanataka wakifika mbinguni wawe viongozi wa malaika huku wanayo yafanya mmiliki wa malaika yana muhuzunisha...tuache kujificha kwenye kivuli cha Mungu wakat hatutendi ya Mungu.
nadhani ifike wakati kesi za wafuasi na viongozi wa vyama vya upinzani zipelekwe kwenye MAHAKAMA YA UFISADI maana fujo zao zinafanya nchi isiendelee miaka yote tangu tumepata uhuru,nchi ilioza hii kwasababu yao,kila sehemu ilikuwa ni dili tu,sasa ni bora wapelekwe huko kwenye mahakama ya ufisadi ili kuwe na kesi angalau wafanye kazi maana hatuwezi kuwa na watu hawafanyi kazi lakini wanalipwa mishahara hii itakuwa ni sawa na JIPU LA WAFANYAKAZI HEWA.
Unamwita binadamu mwenzio takataka wewe ndo binadamu, hongera sana mzee.Hahahah kwa hiyo aliingiaje? Alikuwa Ulaya alitutumia picha yuko na Wazungu hivyo boda zetu alivukaje kama Askari wetu walikuwa na lengo la kumkamata? Kweli takataka kama hawa Bara letu la Afrika ni ngumu sana kuja kuendelea!
Halafu jamaa linafiki kweli, kila Siku eti tuliombee, ni Lucifa tu atasikia maombi ya kuombewa jitu katili hivyo.Niishauri serikali,kama inahisi ni kosa la jinai kwa watanzania kuwa na itikadi tofauti za vyama,ifanye sensa ya kiitikadi,iwabaini wote walio kinyume na matendo maovu ya serikali,iwanyonge.
Kuwalazimisha watu waishi kikondoo huku wakishuhudia mafisadi waliojivika utukufu wakikataa kujadiliwa kwa kukimbilia kuuficha ufisadi wao chini ya kivuli cha jeshi,ni jambo lisiloweza kuvumilika kwa kila mtanzania mwenye akili timamu.
Tuueni tu ili dunia nzima ifahamu kuwa hii ni nchi ya ccm.Tunaomba na lile ghorofa alilohongwa kidosho,ligeuzwe kuwa hostel ya jeshi(Liwe handaki),ili atakayelijadili hekalu lile akanyee debe.Hii nchi ilipofika inatia hadi kichefuchefu.