Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,059
Wamelewa madaraka, na wanafuata maagizo ya mhimili uliojichimbia chini. Nachukia kuwa mTz muoga asiyehoji hata haki zake.
nchi hii ya ajabu sana, wabunge wetu kama mazuzu. sijui hawajiulizi wapo bungeni kwa lengo gani. Sina uhakika kama wanajua wajibu wao.Wamelewa madaraka, na wanafuata maagizo ya mhimili uliojichimbia chini. Nachukia kuwa mTz muoga asiyehoji hata haki zake.
Nimesikiliza hoja ya zito juu ya haki za bunge na bunge kama muhimili kuto ingiliwa na mihimili mingine.
Alijikita juu ya wabunge kukamatwa na bila spika kupewa taarifa na wala wabunge wengine kupewa taarifa rasmi na spika.
mfano mbunge wa arusha kawekwa jela hadi leo hakuna taarifa bungeni iliyo tolewa. Pia mbunge wa kilombero amefungwa miezi 6 lakini hadi leo spika hajatoa taarifa bungeni juu ya kifungo cha mbunge huyo..
Pia Tundu lissu amekamwatwa Jana bila kibali cha spika na spika hajatoa taarifa bungeni juu ya kukamatwa kwake.
Kwa mtazamo rahisi ni kama hakuna muhimili wa bunge, maana hata vibaka wanaingia na kufanya chochote na mwenye nyumba anaona sawa tuu.
Kwa sheria za mabunge ya Jumhia ya madola, mbunge hawezi kukamatwa bila kibali cha spika, na akikamatwa basi spika atatoa taarifa bungeni ..
Cha ajabu Naibu spika kapotezea , niwashauri wabunge wa ccm , ni wakati wa kuwa na akili, Leo upinzani wanakamatwa kesho hakuna aijuaye. ni vyema wabunge kwa ujumla wao washikamane kulinda haki za bunge.
refer hotuba ya kibajaji Lusinde wakati wa kampeni arumeru, alisema lema anapapenda sana jela kwa sababu kuna kitu anakifataga kulee, sasa ukweli anaujua kibajajiAngekuwa kamanda Lema yeye ndio ange wafata walipo ili wamkamate .
hata kama unalipwa buku 2 kushinda unatetea ccm hapa JF , jiongeze kidogo. Hakuna aliye mkubwa kuliko nchii hii, nchii hii ni ya wote,Blah blah blah tumeshasikia sana hayo maneno nafikiri mpaka leo hii hakuna ambacho hamjakisema na mnarudia rudia tu yale yale, semeni mnaamuaje sasa? Kwa maana hakuna jipya!
Nimesikiliza hoja ya zito juu ya haki za bunge na bunge kama muhimili kuto ingiliwa na mihimili mingine.
Alijikita juu ya wabunge kukamatwa na bila spika kupewa taarifa na wala wabunge wengine kupewa taarifa rasmi na spika.
mfano mbunge wa arusha kawekwa jela hadi leo hakuna taarifa bungeni iliyo tolewa. Pia mbunge wa kilombero amefungwa miezi 6 lakini hadi leo spika hajatoa taarifa bungeni juu ya kifungo cha mbunge huyo..
Pia Tundu lissu amekamwatwa Jana bila kibali cha spika na spika hajatoa taarifa bungeni juu ya kukamatwa kwake.
Kwa mtazamo rahisi ni kama hakuna muhimili wa bunge, maana hata vibaka wanaingia na kufanya chochote na mwenye nyumba anaona sawa tuu.
Kwa sheria za mabunge ya Jumhia ya madola, mbunge hawezi kukamatwa bila kibali cha spika, na akikamatwa basi spika atatoa taarifa bungeni ..
Cha ajabu Naibu spika kapotezea , niwashauri wabunge wa ccm , ni wakati wa kuwa na akili, Leo upinzani wanakamatwa kesho hakuna aijuaye. ni vyema wabunge kwa ujumla wao washikamane kulinda haki za bunge.
Hakuna jipya kwani wazazi wako katerero usiku huu wamemalizaBlah blah blah tumeshasikia sana hayo maneno nafikiri mpaka leo hii hakuna ambacho hamjakisema na mnarudia rudia tu yale yale, semeni mnaamuaje sasa? Kwa maana hakuna jipya!
Hakuna jipya kwani wazazi wako katerero usiku huu wamemaliza
mbona unaongea kitu ambacho siyo, hatuongelei ushabiki hapa, tunaongelea nafasi ya bunge kama muhimili.Ukawa wamezidi utoto manina zao acha wakamatwe
mkuu mbona unakurupuka kuchangia wakati hujaelewa mada.Kale kajamaa (Tundu Lissu) kalikamatwa nje ya Bunge ndipo wakamtia ndani ya tenga na kumpeleka DSM. Na Zitto nasikia anaviziwa ili atiwe ndani ya tenga na kupelekwa DSM pia, mbona hakuna tatizo? Yeye Zitto anasema hivyo kwa sababu anataka kulindwa maana alishaona tenga nje ya viwanja vya bunge linamsubiri. We, fikiria....nani anataka awekwe ndania ya tenga masaa 8 kwenda DAR?
ZERO.Ni nani alikwambia Adolf Hitler alikuwa Kiongozi mbaya? Tafiti zilifanywa sehemu nyingi Duniani kuanzia India, Asia na hata USA kwenyewe watu wengi wanamchukulia Adolf Hitler kama Kiongozi bora na mzuri na ndiyo maana nguvu nyingi sana inatumika kuwaaminisha watu vinginevyo!
TAARIFA
Mpaka sasa Kiongozi Wa chama cha ACT Wazalendo,Zitto Kabwe,ambaye pia ni Mbunge Wa Kigoma mjini bado hajakamatwa na jeshi la Polisi
Muda wote askari Wa jeshi la Polisi wamezingira maeneo mbali mbali ya ukumbi Wa Bunge kwa ajili ya kumsubiri atoke na waweze kumkamata
...
Kiongozi Zitto Kabwe yupo Salama ndani ya Bunge na kama itatokea kuwa amekamatwa tutautaarifu umma juu ya madhila hayo yanayofanywa na jeshi la Polisi kwa viongozi mbali mbali Wa kisiasa wasiotokana na chama cha Mapinduzi
Abdallah Khamis
Afisa Habari ACT Wazalendo
07/2/2017
-----
Mi sijajua Session si inaendelea mda huu ambapo zitto yumo ndani ya Bunge. Je atafanikiwa Ku escape tena? This man is pure magician.
Hii nchi tutairudisha kwenye mstari kwa gharama kubwa, kwa sasa nchi imepotoka. Kila MTU ana hofu,Waziri wa mambo ya ndani si muda mrefu alikuwa kazi ya kupambana na hoja za wapinzani majukwaani na kila siku walikuwa wanabezana. Sasa atuambie nini kimebadilika siku hizi kuikosoa serikari ni uchochezi walianza kwa wananchi sasa tena wanahamia kwa wale waliochaguliwa kwa kazi hiyo kwani CCM awatoshi na raia wanaona hatua njema za serikari awatoshi kusifia mpaka iwe kila mtu. Lazima kuwe na upande wa pili wa hoja.