Leo Mh Zitto Kabwe ameanza hotuba vizuri, kwa kusema kuwa barabara hazijengwi kwa hela za chama chochote cha siasa bali kwa kodi za wananchi.
Pia Zitto ameongelea suala la KADCO ambao wanaendesha Kilimanjaro International Airpoirt (KIA). Ni aibu sana kwa wageni wengi wanaokuja kutembelea Tanzania kupitia Nairobi. Sio siri wageni wengi wanaotembelea Tanzania wanapitia Kenya. Sababu kubwa wageni kupitia kenya ni nauli kubwa kwa wageni kama wakitua KIA ukilinganisha na wakitua Nairobi.
Mfano, Kama mgeni akisafiri kutoka Amsterdam akitua KIA atalipa dola 1305 EURO ROundtrip wakati akitua kenya ni 600 Euro Roundtrip. Na ni kwa KLM (Royal Dutch Airlines). Sidanganyi, Naomba ucheck kwenye KLM.COM website na uangalie hizo nauli mwenyewe.
Huo ni mfano rahisi, angalia ndege nyingine kama virgin Atlantic, na mandege mengine mengi.
Wageni wakifika nairobi wanalala night moja na kesho yake wanakuja na daily bus shuttles. kama wadau mnataka kuhakikisha nendeni Arusha pale Namanga border, shuttles BOBBY Shuttle, River side, DAVANU, OTTA, n.k Hawa wote wana mabasi mengi na wastani wa mabasi 4 kwenda nairobi na 4 kuja Arusha.
Kwa hiyo hoteli za Kenya zinafaidi, curio shops, national parks, beaches.
Landing fee KIA ni tatizo; landing fee ni 5000 US $ per day. Wakati KADCO wanalipa 1000 US $ per year.
Mie ninashaka KADCO ina mikono ya VIGOGO wa CCM. Please nendeni BRELA muwaanike hapa tujue.
Pia Zitto ameongelea suala la KADCO ambao wanaendesha Kilimanjaro International Airpoirt (KIA). Ni aibu sana kwa wageni wengi wanaokuja kutembelea Tanzania kupitia Nairobi. Sio siri wageni wengi wanaotembelea Tanzania wanapitia Kenya. Sababu kubwa wageni kupitia kenya ni nauli kubwa kwa wageni kama wakitua KIA ukilinganisha na wakitua Nairobi.
Mfano, Kama mgeni akisafiri kutoka Amsterdam akitua KIA atalipa dola 1305 EURO ROundtrip wakati akitua kenya ni 600 Euro Roundtrip. Na ni kwa KLM (Royal Dutch Airlines). Sidanganyi, Naomba ucheck kwenye KLM.COM website na uangalie hizo nauli mwenyewe.
Huo ni mfano rahisi, angalia ndege nyingine kama virgin Atlantic, na mandege mengine mengi.
Wageni wakifika nairobi wanalala night moja na kesho yake wanakuja na daily bus shuttles. kama wadau mnataka kuhakikisha nendeni Arusha pale Namanga border, shuttles BOBBY Shuttle, River side, DAVANU, OTTA, n.k Hawa wote wana mabasi mengi na wastani wa mabasi 4 kwenda nairobi na 4 kuja Arusha.
Kwa hiyo hoteli za Kenya zinafaidi, curio shops, national parks, beaches.
Landing fee KIA ni tatizo; landing fee ni 5000 US $ per day. Wakati KADCO wanalipa 1000 US $ per year.
Mie ninashaka KADCO ina mikono ya VIGOGO wa CCM. Please nendeni BRELA muwaanike hapa tujue.