Zitto, Hongera kwa kuchokonoa KIA na Mengineyo

--------------------------------------------------------------------------------

Hi Team,Hivi karibuni 'Crew' nzima ya Dedio Clousd walijitolea kupima 'Virusi',offcourse matokeo ni Siri ya kila mtu.Ila kuna kitu kimenishangaza a week after wameletewa wataalamu wa ushauri nasaha kuhusu VVU na jinsi ya kuishi VVU na kujitunza, na mpaka wakaletewa na mgonjwa wa virusi atoe darasa jinsi ya kuishi na ngoma!Swali ni kwanini imekuwa haraka kiasi hiki na kwao tu?

naitaji maelezo!

katika semina hiyo,pia kulikuwepo na mgeni mualikwa, dada ambaye ni muathirika wa virusi vya Ukimwi,mkazi wa Tabata Kimanga (pichani) Bi. Dhamiri Mustafa (22) ambaye pia alitoa historia ya maisha yake namna alivyoambukizwa na hadi kujitambua kuwa na virusi vya Ukimwi, na ni jinsi gani anajilinda, na kwa namna gani anavyo pambana na suala la unyanyapaa kutoka kwa jamii inayomzunguka,yeye mwenyewe amekiri kuwa tangu ajitambue kuwa na virusi vya ukimwi yapata miaka kumi amekuwa akiishi navyo mpaka sasa,amekuwa akikumbana na suala unyanyapaa kutoka kwa watu mbalimbali ikiwemo familia yake.

Mtoa mada mkuu wa Semina Bi. Monica Tarimo akitoa maelezo ya kutosha kwa washiriki wa semina hiyo iliyofanyika leo mjengoni Clouds Media Group,Mikocheni jijini Dar.


Washiriki wa semina hiyo wakiwa makini kusikiliza mafunzo kutoka kwa mkufunzi wa semina hiyo.


Baadhi ya vijana wa mjengoni/Clouds Media Group wakiwa ndani ya chumba cha semina leo iliyokuwa ikihusu masuala mazima ya maambukizi UKIMWI/VVU na unyanyapaa kwa wenye virusi vya Ukimwi.

Muandishi: MICHUZI JR Tarehe: Tuesday, June 30, 2009 | | Permalink | Maoni 3
 
Hi Team,Hivi karibuni 'Crew' nzima ya Dedio Clousd walijitolea kupima 'Virusi',offcourse matokeo ni Siri ya kila mtu.Ila kuna kitu kimenishangaza a week after wameletewa wataalamu wa ushauri nasaha kuhusu VVU na jinsi ya kuishi VVU na kujitunza, na mpaka wakaletewa na mgonjwa wa virusi atoe darasa jinsi ya kuishi na ngoma!Swali ni kwanini imekuwa haraka kiasi hiki na kwao tu?

naitaji maelezo!

katika semina hiyo,pia kulikuwepo na mgeni mualikwa, dada ambaye ni muathirika wa virusi vya Ukimwi,mkazi wa Tabata Kimanga (pichani) Bi. Dhamiri Mustafa (22) ambaye pia alitoa historia ya maisha yake namna alivyoambukizwa na hadi kujitambua kuwa na virusi vya Ukimwi, na ni jinsi gani anajilinda, na kwa namna gani anavyo pambana na suala la unyanyapaa kutoka kwa jamii inayomzunguka,yeye mwenyewe amekiri kuwa tangu ajitambue kuwa na virusi vya ukimwi yapata miaka kumi amekuwa akiishi navyo mpaka sasa,amekuwa akikumbana na suala unyanyapaa kutoka kwa watu mbalimbali ikiwemo familia yake.

Mtoa mada mkuu wa Semina Bi. Monica Tarimo akitoa maelezo ya kutosha kwa washiriki wa semina hiyo iliyofanyika leo mjengoni Clouds Media Group,Mikocheni jijini Dar.


Washiriki wa semina hiyo wakiwa makini kusikiliza mafunzo kutoka kwa mkufunzi wa semina hiyo.


Baadhi ya vijana wa mjengoni/Clouds Media Group wakiwa ndani ya chumba cha semina leo iliyokuwa ikihusu masuala mazima ya maambukizi UKIMWI/VVU na unyanyapaa kwa wenye virusi vya Ukimwi.
 
You seem to underestimate mafisadi mkuu wangu. Unakumbuka wale walio kuwa wakitulia milioni 150 kwa siku?

Mwnafalsafa1!

Thanks for noting that!! Nilikwisha sema makampuni hayo hata hiyo ya KIA ni makampuni ya mfisadi wa CCM lakini sijui nitumie lugha kali kiasi gani ili wana JF pamoja na WaTZ ambao kwao rangi ya kijani means a lot waweze kuliona.

Baada ya kuonja tamu ya utajiri viongozi wa CCM walibumi kuvaa nguo za kijani na mwenge wao kuzuga watu na baada ya hapo wakajiuzia makampuni yote wenyewe kwa kujiita wawekezaji!!! Habari ndio hiyo wanchukulia ujinga wa WATANZANIA ambao 85% hawajui hata wanakokwenda!!!

Just imagine Kikwete aka MATONYA has been in power for almost 4 years sasa hiyo kampeni ya kusema ni mgombea pekee inatoka wapi!! Hajafanya cha maana ndio maana anaanza kampeni mwaka mmoja na nusu kabla ya term yake kwisha this is treason!!!!

For the record ni kwamba haya makampuni ni ya CCM period !!! Kuanzia TICTS hadi,, Buzwagi hata TRL ni ya hao akina RA ,and Lowasa's etc!!! Jana mlimwona Dr. Shukuru kwenye TV akitoa takwimu za uongo kuhusu RITES hivi huo Udokta alizawadiwa nina mashaka na huo Uhandisi wake!!!

Anyway siku ya redemption tutabinafsisha hata majengo yote huko City Centre, Kariakoo !!Oysterbay ,Masaki na Mbezi yaliyojengwa na pesa za walipa kodi Don't forget the goldmines na mashamba waliyojigawia kuanzia TPC,,kagera.. Mtibwa...Kilombero""" Na hata shamba la Kitulo alilogwaiwa Bw. Mosha wa NICO!!! Nyumba zote za serikali ambazo hawakupewa walalahoi kwenye utawala wangu nitazichukua bila malipo let them make no mistake about that chekeni tu lakini siku ipo since God is not on long sabatical leave!!!
 
hii inafaa wabunge wapande zote washirikiane tumjue mchawi wetu...
Tatizo ni kuwa baadhi ya wabunge wameshanunuliwa na kuweka mifukoni. Wapo ambao wanategemea fadhili za hao wezi ili kurejea Bungeni, itakuwa vigumu sana wao kushiriki kwenye harakatio za kuokoa mali za taifa
 
1-Tuliwachagua wawakilishi wetu ili kuwe na utaratibu wa kuzungumza,au kutoa madukuduku yetu,SIO KILA MTU AONGEE!



2-Mategemeo yetu wapiga kura ni wawakilishi hawa kukiwwasilisha kile kinachotokea maeneo tunayoishi walipa kodi,AND NOT OTHERWISE


3-Kuelimisha buzwagi n.k kama unavyosema ITA HAD TO HAPPEN ANYWAYS.it was the matter of time and opportunity!Zitto ilimkuta hivyo opoortunity akia kwenye form,ofcourse he is honoured!Zitto hakuzaliwa ili aelimishe buzwagi,anybody cn do it!NI SWALA LA EXPOSURE.na zitto anapo pakusemea,na ana nafasi ya kusemea.

So far,tunao wataalamu wazuri zaidi ya zitto humuhumu jf


4-Mzimu wa 'dowans' UTAMMALIZA Zitto!uzuri yeye mwenyewe ameshasoma dalili za nyakati.ndo maana anafikiria kupumzika kugombea!sijui wewe mshabiki wake mwenye imani kwamba Zitto alishushwa na mungu kwa ajili ya buzwagi unaamini nini......................
1. Kweli tunachagua wawakilishi wakatusemee kero zetu. Swali ni je wanasema? Maana bunge lina wabunge zaidi ya 300! Wote tunajua kuwa wengi wapo tu ushaidi wanasubiri kuvuta allowance basi hakuna lingine.

2. Si lazima pale unapoishi japo kipaumbele ni pale. Lakini hii nchi ni yetu sote hivyo japo Zitto ni mbunge wa Kigoma lakini anaweza ongea issue za kwingine.

3. Hakuna aliyesema Zitto ni zaidi ya watu wote, lakini pia hutakiwi usemee mtu kwani wapo wengi walionekana kwa nje wazuri kumbe hakuna kitu. Angalia mtu kama Mizengo Pinda watu walisifu sana uteuzi wake sasa anafanya nini? Kuna kipya?

Issue ya Buzwagi si kila mtu anaweza kuisemea kwani kuna watu wengi wamekalia siri nyingi chafu na hawazitoi. Kwani baada ya kugundulika kuwa ilikuwa kweli Karamagi alijiuzuru? Ndiyo uone hii nchi watu wengi wanaitaji kuelimshwa na kuwa wazalendo zaidi.

KUHUSU NAFASI NI KWELI ANAYO NA AMEITUMIA LAKINI MIMI NAONGEZA NA COURAGE KUNA WENGI WANA NAFASI LAKINI WANAKOSA KUJIAMINI. ZITTO ANAJIAMINI KATIKA ANALOSEMA SI KINYONGA HATA DOWANS AMEELEZA KWANINI ALISUPPORT.

4. Dowans haiwezi kummaliza ZITTO kwani yeye kama binadamu si lazima awe na maono kama yako. Na pia kila mtu ana jinsi yake ya kuangalia mambo hivyo yeye kama binadamu aliona kuwa ile ndiyo njia bora. Kwani alipokosolewa uliona anabisha? Hapana alitoa maelezo yake ni kwanini alitetea mitambo inunuliwe. Sasa ni uamuzi wako kuamini alichoeleza au kukiacha na kuamini ujuavyo.

PIA AMEONYESHA COURAGE KWA KUSIMAMIA MANENO YAKE KWANI HATUJASIKIA WATU WENGI WANASEMA MAMBO LEO KESHO WANAKANA? INABIDI APONGEZWE KWA HILO.
 
Hi Team,Hivi karibuni 'Crew' nzima ya Dedio Clousd walijitolea kupima 'Virusi',offcourse matokeo ni Siri ya kila mtu.Ila kuna kitu kimenishangaza a week after wameletewa wataalamu wa ushauri nasaha kuhusu VVU na jinsi ya kuishi VVU na kujitunza, na mpaka wakaletewa na mgonjwa wa virusi atoe darasa jinsi ya kuishi na ngoma!Swali ni kwanini imekuwa haraka kiasi hiki na kwao tu?

naitaji maelezo!



Baadhi ya vijana wa mjengoni/Clouds Media Group wakiwa ndani ya chumba cha semina leo iliyokuwa ikihusu masuala mazima ya maambukizi UKIMWI/VVU na unyanyapaa kwa wenye virusi vya Ukimwi.

Unahitaji maelezo wewe KAMA nani na yatakusaidia nini????? WATZ tumezidi kufuatilia habari binafsi,
 
Haiwezekani! Yaani KADCO wakusanye maelfu ya dola kwa siku halafu wao walipe dola 1,000 tu kwa mwaka? No no no no no no! Hivi inaingia akilini kweli hii? Hata kama ni wizi jamani hii sasa is too much. Jamani CCM wanaimaliza hii nchi. Ama kweli TZ ni shamba la bibi. Eeee MUNGU wa mbinguni ikumbuke Tanzania na mafisadi wakujue wewe ili nchi yetu ipone.
Kumbe hata Bus Stand ya Ubungo ni afadhali, maana wizi unaofanywa naile kampuni ya Mheshimiwa sana ........pale Ubungo una nafuu kuliko huu wa KADCO
 
Mwnafalsafa1!

Thanks for noting that!! Nilikwisha sema makampuni hayo hata hiyo ya KIA ni makampuni ya mfisadi wa CCM lakini sijui nitumie lugha kali kiasi gani ili wana JF pamoja na WaTZ ambao kwao rangi ya kijani means a lot waweze kuliona.

Baada ya kuonja tamu ya utajiri viongozi wa CCM walibumi kuvaa nguo za kijani na mwenge wao kuzuga watu na baada ya hapo wakajiuzia makampuni yote wenyewe kwa kujiita wawekezaji!!! Habari ndio hiyo wanchukulia ujinga wa WATANZANIA ambao 85% hawajui hata wanakokwenda!!!

Just imagine Kikwete aka MATONYA has been in power for almost 4 years sasa hiyo kampeni ya kusema ni mgombea pekee inatoka wapi!! Hajafanya cha maana ndio maana anaanza kampeni mwaka mmoja na nusu kabla ya term yake kwisha this is treason!!!!

For the record ni kwamba haya makampuni ni ya CCM period !!! Kuanzia TICTS hadi,, Buzwagi hata TRL ni ya hao akina RA ,and Lowasa's etc!!! Jana mlimwona Dr. Shukuru kwenye TV akitoa takwimu za uongo kuhusu RITES hivi huo Udokta alizawadiwa nina mashaka na huo Uhandisi wake!!!

Anyway siku ya redemption tutabinafsisha hata majengo yote huko City Centre, Kariakoo !!Oysterbay ,Masaki na Mbezi yaliyojengwa na pesa za walipa kodi Don't forget the goldmines na mashamba waliyojigawia kuanzia TPC,,kagera.. Mtibwa...Kilombero""" Na hata shamba la Kitulo alilogwaiwa Bw. Mosha wa NICO!!! Nyumba zote za serikali ambazo hawakupewa walalahoi kwenye utawala wangu nitazichukua bila malipo let them make no mistake about that chekeni tu lakini siku ipo since God is not on long sabatical leave!!!

CCM(Tanzania) limited na ma-CEO wake wanataka kumonopolize uchumi wa Tanzania. Tatizo ni kwamba hawa watu hawana hata business skills. Wanajipendelea kupeana makampuni lakini hayo makampuni haya kawii kufa kisha wakimbilie kwingine. Haya wengine wanaiba hela bila hata kuziwekeza which means pesa hizo zinapotea bure. Na washenzi kuliko wote ni wale wanaoiba pesa nchini na kwenda kuziweka kwenye account za nje. Wakina Bern Madoff hawapo Marekani tu mkuu. Sasa hivi CCM inakuwa kama vile siyo chama bali nao ni private entity. Nawalinganisha na wale DECI sasa maana wanachuma bila kuwekeza popote.
 
Nampongeza Bwana Zitto Kabwe kwa kuliongelea swala hili.

KIA ina potential kubwa sana East na Central Africa, kwani sehemu ilipo ni muhimu sana
1. Tofauti na Dar, KIa imekaa sehemu ambayo hakuna restrictions nyingi kama makazi ya watu ambayo ukitaka kuupanua uwanja utahitaji fedha nyingi za kuwacompansate wakazi.It is in the middle of nowhere.
2.KIA iko karibu na airport nyingi za nchi za jirani, kama ikiweza kupanuliwa then ndege nyingi zinaweza kutua KIA then connect to final destination.
3. Only 45 minutes to Dar, Zanzibar.
4. Only 45 minutes to Mwanza
5. Only 25 minutes to Nairobi
6. Only 1 hr na 15 to Kampalla au Entebbe
7.Only 1 hr na 15 min to Bunjumbura na kigali. Na 2 hrs to Younde.

Serikali inabidi iendeleze hii airport kama as it has a lot of potential.
 
With almost a dual carriage road being built between Nairobi and Arusha via Namanga [with one stop custom and immigration border post in Namanga instead of the current two] and improvements to Arusha and JKI Airports it is likely that KIA will now turn into a real white elephant! With the new road and one stop border post at Namanga it will take about three hours to travel from Nairobi to Arusha instead of the current 6-7 hours while travelling by air through KIA to Nairobi takes about 6 hours [i.e. one hour drive Arusha to KIA; one and half hours through immigration and checking in at KIA; 60 minutes flying time KIA/JKIA; one hour through immigration and customs at JKIA and one hour drive from JKIA to Nairobi city centre. KIA ni lazima wabadili business model yao!
 
With almost a dual carriage road being built between Nairobi and Arusha via Namanga [with one stop custom and immigration border post in Namanga instead of the current two] and improvements to Arusha and JKI Airports it is likely that KIA will now turn into a real white elephant! With the new road and one stop border post at Namanga it will take about three hours to travel from Nairobi to Arusha instead of the current 6-7 hours while travelling by air through KIA to Nairobi takes about 6 hours [i.e. one hour drive Arusha to KIA; one and half hours through immigration and checking in at KIA; 60 minutes flying time KIA/JKIA; one hour through immigration and customs at JKIA and one hour drive from JKIA to Nairobi city centre. KIA ni lazima wabadili business model yao!
Good point wenzetu wa kenya wako very strategistic, ujinga wetu ndio mauti yetu, tunapigwa magoli ya kisigino hivi hivi. tukitaka ku-overcome our weakness tunahitaji investment kubwa na tuache usaniiii.
 
Back
Top Bottom