Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,898
- Thread starter
- #21
Hivi kazi ya dereva ni kuendesha gari tu au hadi kumtafutia waziri mademu?
Huu uchokozi mwingine, lakini sishangai kwani ndio wanaotumwa kwenda kule UD kuwaleta vijana kuja kuvinjari nao pub.